Saturday, 31 May 2014

KUTANA NA EX GIRLFRIEND WA DAVIDO, ANAEFANANISHWA NA KIM KARDASHIAN (PHOTOS



KUTANA NA EX GIRLFRIEND WA DAVIDO, ANAEFANANISHWA NA KIM KARDASHIAN (PHOTOS)








Huyu
anaitwa Nish Kards, kutoka Ghana alikuwa mpenzi wa mwanamziki maarufu
kutoka Nigeria, Davido, Kupitia ukurasa wake  INSTAGRAM, followers wake
wamekuwa wakimfananisha na Kim Kardashian na kumuita The Ghana’s Kim
Kardashian.....Hebu tumuone KOZ hata kajina  kiana kama la KIM..... 




PICHA ZAIDI >>HAPA<<

Ommy Dimpoz asema Instagram ilimpatia mchumba..MUONE HAPA!! USIPITWE



Ommy Dimpoz asema Instagram ilimpatia mchumba..MUONE HAPA!! USIPITWE

OOmmy Dimpoz amefunguka na kudai kuwa mitandao ya kijamii imempa mke mchumba.






915559_591874717578603_1984267566_n

Mrembo wa Ommy Dimpoz





Ommy
amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa yeye na msichana huyo
waliweza kukaa kwa muda wa mwaka mmoja wakichati bila kuonana.


“Social
network zilisaidia kutuunganisha lakini matokeo yake mpaka tukaja
kuonana. Mpaka nikaja kwenye tour tukaonana, si unajua kuna zile mzee
unashangaa ma Instagram mtoto ka like picha kama tisini hivi, halafu
ukichekecha unaona mbona kama umechorwaee ,bahati nzuri ilipoanzishwa
instamessage kwahiyo kama unajiiba hivi. 




Ni
Mtanzania, mpaka kuonana ilichukua kama mwaka, tumechat tumechat mpaka
ikafikia time, sina haraka kwanini niwe na haraka, kuamiana kunakuja
automatically,” alisema.




“Unajua mambo ya mapenzi Mungu mwenyewe ndio anajua, pengine wengine anaweza wewe ukawa muuza mkaa demu akaja kununua mkaa. 



Lakini
lile kopo unavyolishika kimachejo wakati wa kupima yeye anapenda ule
upimaji wako, kwahiyo kuna kitu kama hivyo haijalisha mnakutana wapi,
ikiwa tu mmewekea mipaka yenu, masharti hivi na hivi maisha yenu
yanaenda.”

DIAMOND NDANI YA WASHINGTON, DC, APIGA PICHA NA MASHABI WAKE, LEO KUFANYA SHOW NEW JERSEY‏



DIAMOND NDANI YA WASHINGTON, DC, APIGA PICHA NA MASHABI WAKE, LEO KUFANYA SHOW NEW JERSEY‏






Diamond
Plutnumz akiongozana na wasafi pamoja na Dj Romy Jons (Dj wake) kulia
wakiwa na mwenyeji wao DMK wakiwasili tayari kukutana na mashabiki wake
waliofika kwenye mgahawa wa Safari, Washington, DC kumsubili na kupiga
nae picha.
 Diamond Plutnumz akiwa ndani ya mgahawa wa Safari na kruu wake katika picha na mashbiki waliofika kumsabai na kupiga nae picha.
 Mashabiki
wa Diamond wakipata ukodak moment na Diamond Plutnumz mara tu alipotua
ndani ya mgahawa wa Safari siku ya Ijumaa May 30, 2014.






 Shabiki
akiwa bado na kiu ya kupata ukodak na Rais wa Wasfai, Diamond kulia ni
DMK poromota wa msanii huyo ambaye ndie anayekimbiza sasa hivi na akiwa
nominee wa MTV africa na BET award itakayofanyika nchini Marekani June
29, 2014.

 Diamond akiongea jambo na Mkuu wa Utawala na Fedha Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani, Mama Lily Munanka.
Mashabiki wa Diamond Plutnumza wakipata picha ya pamoja na Rais wa Wasafi.
Mashabiki
kutoka jirani zetu Kenya nao wakipata picha na Prezidaa Diamond
Plutnumz walipofika kwenye mgahawa wa Safari uliopo Washington, DC.

Madancer wa Diamond wakiwa na Prezdaa ndani ya mgahawa wa Safari Washington, DC.
Mtasha
wa Kimarekani aliyewahi tembelea Tanzania nae hakuwa nyuma kupata picha
na Diamond ndani ya mgahawa wa Safari ulipo Washington, DC

 Shabiki akiwa na furaha kupata ukodak na Rais wa Wasafi Diamond Plutnumz
 Diamond akiwa na shabiki wake katika picha ya pamoja.
Shabiki wa Diamond hakuwa nyuma katika kupata ukodak wa kumbukumbu.
Shabiki wa Diamond akipata picha ya pamoja na Prezedaa wa Wasafi.
 Shabiki kutoka kwa jirani zetu nae akipata picha huku akijaribu kupata picha kwenye simu yake.


 Dj Romy Jons akipata picha ya pamoja na mashabiki kwenye mgahawa wa Safari uliopo Washington, DC.

 Shabiki katika picha ya pamoja na Diamond.
 Shabiki na Diamond katika picha ya pamoja.
Shabiki akipozi kwa picha na Diamond.
Shabiki akipozi kwa ukodak moment na Diamond.
Shabiki wa Diamond akipata picha na rais huyo wa Wasafi.
Shabiki akipata picha na Dj wa Diamond, Dj Romy Jons
Shabiki akipata picha na Wasafi.

Mashabiki katika picha ya pamoja na poromota wa Diamond, DMK.

Mashabiki wawashambulia Masanja na Diamond kwa kushindwa ‘hata’ kutoa pole kwa misiba 3 YA Bongo Movie.WAO WANAPOST TU picha za bataNI NCHINI Marekani..MASANJA AJIBU TUHUMA KWA KUMWAGA MATUSI.."fyokofyokomsibani"



Mashabiki
wawashambulia Masanja na Diamond kwa kushindwa ‘hata’ kutoa pole kwa
misiba 3 YA Bongo Movie.WAO WANAPOST TU picha za bataNI NCHINI
Marekani..MASANJA AJIBU TUHUMA KWA KUMWAGA MATUSI.."fyokofyokomsibani"

Ukiingia
Instagram leo utakutana na post nyingi za R.I.P George Tyson katika
akaunti za wasanii wengi wa bongo movie na wa muziki, pamoja na wadau
mbalimbali wa burudani, ingawa hakuna dalili za huzuni katika akaunti ya
Diamond na Masanja zaidi ya picha za bata nchini Marekani.








Masanja3

Mashabiki
wa muigizaji wa Ze comedy, Masanja Mkandamizaji pamoja mashabiki wa
msanii wa Bongo fleva Diamond Platnumz wameshindwa kuvumilia kuona
hawajihusishi hata kwa kutoa pole katika kipindi cha majonzi ya misiba
mitatu iliyoongozana wiki mbili zilizopita katika akaunti zao za
mitandao ya kijamii.




Ndani
ya wiki mbili zilizopita tasnia ya burudani Tanzania imepoteza watu
watatu muhimu upande wa bongo movie, ambao ni muongozaji wa filamu Adam
Kuambiana aliyefariki May 17, ukafuatia msiba wa muigizaji Rachel
Haule aliyefariki May 26, na muongozaji wa filamu George Tyson
aliyefariki jana May 30 kwa ajali ya gari.


masanja1

Chanzo
cha mashabiki hao kuwashambulia Diamond na Masanja ambao wote wako
Marekani kwa sasa kutokana na jinsi ambavyo wamekuwa wakipost picha za
kula bata zaidi hata wakati ambao watu wana huzuni ukizingatia wao ni
watu maarufu, pia ni wasanii na wanafuatiliwa na watu wengi kama kioo,
pia misiba iliyotokea inawahusu pia sababu waliofariki ni wasanii
wenzao.


masanja2

Katika
akaunti za Instagram za Masanja na Diamond ndani ya wiki mbili hadi
leo hakuna yeyote kati yao aliyepost kitu chochote kuhusu msiba wa Adam,
Rachel wala Tyson, huenda ndio kilichowaudhi na kuamua kuwapa makavu
live.


Masaa
11 yaliyopita Masanja amepost picha akiwa anataka kupanda ndege
kuelekea North Carolina, na masaa 5 yaliyopita amepost picha akiwa
amefika na kuandika ‘Asante Mungu North Carolina’s Safe!’






Hizi ni baadhi ya comments za mashabiki wa Masanja:



angiellyicious
– Hvii wewe unajua kama wasanii wenzako huku wana misiba au unakula
raha tuu huko huna habari tena na kwenu!?? @mkandamizaji si uonyeshe
japo kwa ku fake kuwa unahuzunika we ni mipicha ya raha tuuuu!!! 3h




sikudhanimtambo – Yaani huyu yeye ni mipicha ya batani tu,,,kasahau hata kuna kufa,,,wenzio wako misibani



rewardmassawe
– Mimi Kila cku nawaambia Masanja ni POPOMPO kaz yake kupost pic zake
za bata tu wenzako huku ni misiba tu bwege wewe au unazani wewe hutokufa




bintijuma11 – ila kweli jamani utasema askii taarifa za misiba hata pole za uongo huna kaka



bintijuma11-
@dalila022 tatizo sio kupost picha za marehem we jiulize ndani ya hz wk
mbili imetokea misiba mingapi na yeye muda wote anapost yuko happy tu
hata kama aimuumi inabd awe soni kwa pindi mpendwa so kuturushia vipicha
vyake vya bata




sikudhanimtambo- Tunampenda but hata kama hajali mambo ya misiba azuge tu kuhuzunika,,,,au ye ataish milele mwenzetu


diamond usa


Baada ya Diamond kupost picha hii alfajiri ya leo na kuandika ‘Crazy Hunh…?’ hizi ni baadhi ya comment za mashabiki:



Kimatire- Ww dogo ulizaga kwanza hbr za nymbn cyo unatupia ma uchafu yako wkt wenzio wapo kwny maombolezo..punguza sifa



misspopote – Hivi huinag misiba au kwa vle n bongomovie nawe n bongofleva…..??inamaana wote hawakugusi @diamondplatnumz



kimatire
– Hata mkimtetea lzm aambiwe”’sifa hazijengi’ huo muda wa kupost huo
‘uchafu”’angeutumia kutoa pole’kwa hli nitukaneni matusi yote”’jpo
shabiki wake lkn muhmu kumwambia ukwel




hawamafixhbaby
-Una habar na misiba unafany yko2 ujui kexho itakuaje platnumz ss
2nakupend lakin misiba unaipotezea cijaona hta pich yk moj una andik
kuhus misiba pexa za kwak2 unasiaxh hp hp ndug watasi2mia kuwa na huruma
kk nyang???????????


Hata hivyo baada ya madongo hayo, Diamond aliamua kuwa mwerevu kwa kufanya kile mashabiki wake walimtaka afanye kwa kuandika:

Najua
tumekuwa tukipitia kipindi kigumu sana hivi karibuni.. kuondokewa na
ndugu zetu ambao tunawapenda na kuwategemea kwenye sanaa na mambo
mbalimbali.. kiukweli ni pigo na Pengo kubwa kwa Taifa… lakini skuzote
tunaamini Sisi tuliwapenda ila Mwenyez mungu aliwapenda zaidi… Maombi
yetu ndio yatakayo wasaidi walipo wapumzike kwa Amani….Mwenyez mungu
azilaze roho zao mahala pema peponi Amin








Naye Masanja Mkandamizaji amejibu tuhuma hizo kwa kuandika:



Naona kuna watu wanahoji mbona siweki picha ya Misiba Inayotokea. JIBU

MAISHA NI MIPANGO NA MAAMUZI NILIAMUA SITAWEKA PICHA YA MSIBA WOWOTE
ISTAGRAM KWA MAANA HAISAIDII CHOCHOTE, NILIFIWA NA DADA YANGU NA MDOGO
WANGU WA MWISHO NA SIJAWAHI WEKA INSTA. NACHOJUA NI KWAMBA YANAPOTOKEA
HAYA NI KUMSHUKURU MUNGU KWA KILA JAMBO,TENA SIO KUMSHUKURIA INSTA
UNAMSHUKURU MOYONI WAKO. SO NIWAOMBE MLIOKUWA MNASUBIRI NIPOST SITAPOST
NG’O!! NA KWA TAARIFA MSIBA WA ADAM NILIKUWEPO LIDAZ NA MCHANGO NIKATOA
LKN SIKUWEKA PICHA ISTAGRAM. SO HUWA SIONGOZWI NA WATU KUFANYA KITU.

NA NILIACHAGA BAADA YA KWENDA KWENDA KWENYE MSIBA WA NGWEA MORO NIKAWEKA
PICHA RAIA WAKAANZA OOOOH UNAUZA SURA. MALA MBONA SURA HAINA MAJONZI
HEE SA MNATAKA NIJIUMBE MWENYE SURA YA MAJONZI ILI NIMKOSOE MUNGU
ALIYENIUMBA HANDSOME JAMANI??? NEVER SITAWEKA PICHA ZA HIVYOOO INSTA.
HAPA NI MACHAPIII YA UNAITEDI MPAKA NAVYORUDI NIKAWAPE POLE WAFIWA.

NADHANI KAMA ULINIFOLOOOOOO KUPATA UPDATE ZA MISIBA. U BETTER GO TO
HELL. ETI KIOO CHA JAMIII(kwa ku bana pua moja na kidole) KIOO CHA JAMII
CHA BABAKOOO. … #ChekilihotubaKamaLaMheshimiwaRais#

#HarafuNimeliwekaKwaHerufiKubwaa#

#UsichezeNaMimiKwenyeExplanesheniiiii#

#HahahahaaaNaonagaCommentZaPichaZaMisibaUtasikiaSaAmewekajeKopeMsibaniAmevaajeMiwaniAmefyokofyokomsibaniYaanWaliofeliLifeWanashidaaaaa#

#KumbukaNaongozwaNaRoho#

#Over#

KUMBUKUMBU YA NGWEA: MGENI RASMI ACHAFUA HALI YA HEWA...umati uliokuwemo ukumbini na ndugu wa marehemu wadai mgeni huyo katumwa nini..



KUMBUKUMBU
YA NGWEA: MGENI RASMI ACHAFUA HALI YA HEWA...umati uliokuwemo ukumbini
na ndugu wa marehemu wadai mgeni huyo katumwa nini..

JAMBO limezua
jambo! Katika hali ya kushangaza, mgeni rasmi katika shughuli ya
kumbukumbu cha kifo cha aliyekuwa staa wa muziki wa Hip Hop Bongo,
Albert Mangwea ‘Ngwea’ amejikuta akichafua hali ya hewa.




Katibu
wa Mbunge wa Jimbo la Morogoro, Mourice Masala anayedaiwa kuchafua hali
ya hewa katika kumbukumbu ya marehemu Albert Mangwea ‘Ngwea’.
Tukio
hilo lililoibua minong’ono ya aina yake lilitokea Mei 28, mwaka huu
katika Ukumbi wa Samakisamaki mjini hapa ambapo awali mgeni rasmi
alipangwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini, Aziz Abood.
Ilielezwa
kuwa, Abood aliyekuwa na majukumu mengine, alishindwa kufika hivyo
kumtuma katibu wake, Mourice Masala ambaye alichafua hali ya hewa kwa
kusema wasanii wasikubali kutumiwa na wanasiasa wala wasikubali
kubebeshwa mizigo na matajiri.
Marehemu Albert Mangwea ‘Ngwea’ enzi ya uhai wake.
Mbali
na kauli hiyo, mwakilishi huyo akaenda mbele zaidi kwa kuwataka wasanii
waachane na skendo mbaya kwani kila kukicha jamii imekuwa ikisikia
mabaya yao. Hapo ndipo umati uliokuwemo ukumbini humo sanjari na ndugu
wa marehemu ukaibua miguno ya mshangao wengine wakihoji mgeni huyo
alikuwa akimaanisha nini kusema hivyo? au katumwa nini?
“Mh!
Sasa huyu mgeni inakuwaje anaanza kuwananga wasanii wasikubali kuwa
punda? Kwani nani alikuwa punda? Anataka kutwambia marehemu (Ngwea)
alikuwa punda? Anatuzingua huyu naye,” alisikika mmoja wa waalikwa.
Punda ni mtu anayebebeshwa mzigo wa madawa ya kulevya ‘unga’ kwenda kuuza kwingine.

Minong’ono hiyo ilidumu kwa muda kisha baadaye hali ikakaa sawa na mgeni huyo akaendelea kuhutubia licha ya watu kumshangaa.
Ngwea aliyefariki dunia nchini Afrika Kusini, Mei 28, mwaka jana, Jumatato iliyopita alitimiza mwaka mmoja tangu kifo chake.

Hadi 
sasa hati ya kifo chake haijatolewa hadharani licha ya familia ya
msanii huyo kufanya juhudi za kuisaka kwa wahusika bila mafanikio.

MSIBA WA GEORGE TYSON MBEZI MAKONDE JIJINI DAR, monalisa atia huruma



MSIBA WA GEORGE TYSON MBEZI MAKONDE JIJINI DAR, monalisa atia huruma











Yvonney Chery ‘Monalisa’ akiwa na simanzi kubwa.

 
Kulia ni mke wa marehemu George Tyson akiwa msibani.


AY ajitolea kununua jeneza la laki sita cash kwa ajili ya kusafirishia mwili wa marehemu EORGE TYSON



AY ajitolea kununua jeneza la laki sita cash kwa ajili ya kusafirishia mwili wa marehemu EORGE TYSON

msanii
wa Hip Hop nchini, Ambwene Yessaya 'AY' (anayehesabu pesa) aliamua
kujitole kununua jeneza la kusafirishia mwili wa marehemu EORGE TYSON,
jeneza hilo liligharimu kiasi cha shilingi laki sita ambazo AY alizitoa
cash!










.....wakisaidiana kubeba jeneza hilo kuelekea hospitalini baada ya kulinunua


Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifamba (mbele), akiongozana na AY kuelekea hospitalini

KIFO CHA TYSON CHAMLIZA ZAIDI Mtangazaji wa kipindi cha Mboni Show,



KIFO CHA TYSON CHAMLIZA ZAIDI Mtangazaji wa kipindi cha Mboni Show,



Mtangazaji
wa kipindi cha Mboni Show, Mboni Masimba akilia kwa uchungu akiwa nje
ya Hospitali ya Mkoa wa Morogoro wakati wakisubiri kusafirisha maiti
kuelekea Dar. 




Marehemu Tyson ndiye alikuwa Mtayarishaji wa kipindi chake na walikuwa wote katika safari hiyo, ingawa walikuwa magari tofauti.




Mboni (kushoto) akiwa na Mtangazaji wa ITV, Devota Minja
Mboni akifarijiwa Mkuu wa Wilaya ya Mvomero, Anthony Mtaka.

hali harisi NYUMBANI KWA MAREHEMU:BAADHI YA WAOMBOLEZAJI WAKIWA NYUMBANI KWA MAREHEMU GEORGE TYSON



hali harisi NYUMBANI KWA MAREHEMU:BAADHI YA WAOMBOLEZAJI WAKIWA NYUMBANI KWA MAREHEMU GEORGE TYSON

Betrice Shayo(aliyelala) mke wa marehemu George Tyson.

Baadhi ya wafanyakazi wa TV1 wakiwasili msibani.
Wafanyakazi wa TV1 wakiwa nyumbani kwa marehemu.



Waombolezaji.



Nyumbani kwa marehemu George Tyson-Mbezi Makonde.



Natasha mama yake Monalisa ambaye alikuwa mke wa Tyson.

Mwanamuziki Mad Ice akiwa msibani.



Wanafamilia wakiwa katika kikao.

MWILI WA MAREHEMU TYSON WATOLEWA HOSPITALI YA MKOA MORO na kupelekwa dar



MWILI WA MAREHEMU TYSON WATOLEWA HOSPITALI YA MKOA MORO na kupelekwa dar








Baadhi ya ndugu na jamaa wakiutoa mwili wa marehemu George Tyson mochwari mchana wa leo katika Hospitali ya Mkoa ya Morogoro....Wakiupakia mwili wa marehemu katika gari.
Mwili wa marehemu George Tyson ukiwekwa sawa kabla ya kuanza safari ya kuja Dar es Salaam mchana wa leo.