AY ajitolea kununua jeneza la laki sita cash kwa ajili ya kusafirishia mwili wa marehemu EORGE TYSON
wa Hip Hop nchini, Ambwene Yessaya 'AY' (anayehesabu pesa) aliamua
kujitole kununua jeneza la kusafirishia mwili wa marehemu EORGE TYSON,
jeneza hilo liligharimu kiasi cha shilingi laki sita ambazo AY alizitoa
cash!
.....wakisaidiana kubeba jeneza hilo kuelekea hospitalini baada ya kulinunua
Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania, Simon Mwakifamba (mbele), akiongozana na AY kuelekea hospitalini
No comments:
Post a Comment