Wednesday, 24 September 2014

MTANGAZAJI WA TIMES FM DIDA, AANIKA PICHA ZAKE AKIWA BAFUNI NA CHOONI



MTANGAZAJI wa Kituo cha Redio cha Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida’ amewashangaza watu baada ya kutundika mtandaoni picha zinazomuonesha akioga bafuni huku nyingine akiwa maliwatoni.
Picha hizo zinapatikana kwenye mtandao wake na hakueleza ilikuwa wapi ila akasema ilikuwa ni siku alipoamua kuitumia wikiendi yake ipasavyo katika hoteli ambayo hakuitaja jina.

 
Baadhi ya watu waliyoziona picha hizo walimponda wakidai eti ni ulimbukeni lakini wapo waliomtetea kwa kusema, ni staili tu ya maisha aliyoamua kuishi.
“Ushamba tu, ndo nini sasa? Angetuwekea ‘akikata gogo’ pia,” alisema mmoja wa wadau huku mwingine aliyejitambulisha kwa jina la Dick akisema: “Msimuonee wivu mwenzenu, anakula bata zake na nyie hamjakatazwa.”
Dida alipoulizwa kuhusu kujianika hivyo alisema, hizo ni ishu zake binafsi na wapenzi wake wanapenda kuona kila anachokifanya, ndiyo maana anawawekea kwenye blogu yake.

CHARACTER AND WISDOM ARE SCULPTED OVER TIME. THEY COME WITH LOSS, LESSONS, AND TRIUMPHS. THEY COME AFTER DOUBTS, SECOND GUESSES, AND EXPLORING UNKNOWNS. IF THERE WERE A DEFINITIVE PATH TO HAPPINESS AND SUCCESS, EVERYONE WOULD BE ON IT. THE SEEDS OF YOUR PROGRESS ARE PLANTED IN YOUR PAST FAILURES. YOUR BEST STORIES WILL COME FROM OVERCOMING YOUR GREATEST STRUGGLES. YOUR PRAISES WILL BE BIRTHED FROM YOUR PAINS. SO KEEP STANDING, KEEP LEARNING, AND KEEP LIVING.



Over the past five years  I have dealt with several severe hardships, including the sudden death of my parents , the loss of a best friend to illness and betrayal from a business partner. These experiences were brutal.  Each of them, unsurprisingly, knocked me down.  But when my time of mourning was over after each tragedy, i pressed forward, stronger, and with a greater understanding and respect for life.  So my challenge to you today is this:  Start looking at life’s harsh realities and toughest challenges as friends that are going to help you grow. Here are some thoughts to consider….........>>>>>>>>
 The first step is never easy.
The beginnings to good things are always the hardest, but it’s these hard times that pave the path to greatness.  Be strong and keep the faith.  It will be worth it in the end.  The greatest miracle of your success in life will not be that you finished, it will be that you found the strength and courage to begin. And remember, it’s not that those who are strong never get weak in the knees, or that they never hold their breath before they embark…  It’s that while their knees are shaking, they force themselves to breathe and take the first step.

Good things rarely come quick and easy.

Life is not easy, but it’s worth it.  If you expect it to be, you will perpetually disappoint yourself.  Achieving anything worthwhile in life takes time and effort.  You must align your efforts with your goals and then start every day ready to run farther than you did yesterday and fight harder than you ever have before.
Persistence is the single most common characteristic of high achievers.  They simply refuse to give up.  The longer you hang in there, the greater the chance that something will happen in your favor.  Success is the good fortune that comes from aspiration, desperation, perspiration and inspiration.  No matter how hard it seems, the more you persist, the more likely your success.

You will always have less control than you desire.

The only thing you can absolutely control in life is how you react to things out of your control, and there’s a lot you can’t control.  The better you adapt to this reality, the more powerful your highs will be, and the more quickly you’ll be able to bounce back from the lows.  Put most simply: Living a happy, fulfilling life means being in a state of complete acceptance of all that is, right here, right now. As your life unfolds, you will often realize that many of the times you thought you were being rejected from something good, you were in fact being redirected to something better.  You don’t have to control everything to find peace and happiness.  You just need to do you best, and then relax and have faith that things will work out.  Let go and just let life happen the way it’s supposed to.  Because sometimes the outcomes you can’t change end up changing you and helping you grow to your full potential.

You cannot avoid risk without avoiding life.

When it’s time to die, let us not discover that we have never lived. Living is a risk.  Happiness is a risk.  If you’re not a little scared sometimes, then you’re not doing it right.  Don’t worry about mistakes and failures, worry about what you’re giving up when you don’t even try.  Worry about the life you’re not living and the happiness you’re forgoing, as you merely exist in the safety of your comfort zone.  Give yourself permission to be one of the people who survived doing it wrong, who made mistakes, but recovered from them and grew into your truest self.

Your biggest problems are often in your head.

The primary cause of unhappiness and defeat is never the current situation but your thoughts about it.  Happiness and success really comes down to two elements: the way you think and the way you act based upon your thoughts. Human beings become really quite remarkable when they start thinking that they can do great things, right now, without the need for anything more.  When you believe in yourself, you have realized the first secret of success.  Often finding your way is not about going somewhere new; it’s about seeing familiar ground in new ways.  Once you do, you will realize the only difference between stumbling blocks and stepping stones is how you use them.

Long-term happiness cannot be bought; it must be earned.

If you’d rather live surrounded by pristine objects of little significance than by the traces of happy, passionate memories, stay focused on acquiring tangible possessions.  Otherwise, stop fixating on things you can touch and start caring about the things that touch you.  Each of us has a unique fire in our heart for something that makes us feel alive.  It’s your duty to find it and keep it lit. Whatever you do, don’t completely sacrifice your life for your livelihood.  Enjoy the gifts money can’t buy.  Promise yourself that you will stay true to your loves, your values, and your purpose.  Let your heart and mind work as one.  Do what it takes so that one day, many moons from now, you can look back at your life, take one final breath, and crack an honest smile.

Not everyone will support you.

If you take every insult or rude slur of your fellow human beings personally, you will be offended for the rest of your life.  One of the most freeing things we learn in life is that we don’t have to agree with everyone, everyone doesn’t have to agree with us, and that’s OK.  As Bruce Lee once said, “I’m not in this world to live up to your expectations and you’re not in this world to live up to mine.”  Live by this quote.  Don’t let the opinions of others make you forget it. It takes a long time to learn how to NOT judge yourself through someone else’s eyes, but once you do the world is yours for the taking.  We have all been placed on this earth to discover our own life, and we will never be happy or successful if we try to live someone else’s idea of it.  So give up worrying too much about what others think of you.  Regardless of what they say about you and your chosen path, remember that the only approval you need in the end is your own.

You are better off without some people you care about.

It’s during the toughest times of your life that you’ll get to see the true colors of the people who say they care about you.  Notice who sticks around and who doesn’t, and be grateful to those who leave you, for they have given you the room to grow in the space they abandoned, and the awareness to appreciate the people who loved you when you didn’t feel lovable.
Bottom line:  Be okay with giving the gift of your absence to those who do not appreciate and respect your presence.

You cannot have happiness without some sadness.

Chuck Palahniuk once said, “The only way to find true happiness is to risk being completely cut open.”  Nothing could be closer to the truth.  Some sadness is necessary.  Everything in life is two-sided.  You can’t expect to feel pleasure without ever feeling pain, joy without ever feeling sorrow, confidence without ever feeling fearful, hope without ever feeling uncertain, etc.  There is no such thing as a one-sided coin in life, with which you can buy a pain-free, trouble-free life. Life is a series of highs and lows – an adventure that requires you to take chances and actions that have the possibility of both success (happiness) and failure (sadness)

What’s done is done, but life goes on.

If you are carrying strong emotions about something that happened in your past, they may hinder your ability to live productively in the present.  With everything that has happened, you can either feel sorry for yourself or treat what has happened as a gift of knowledge.  Everything is either an opportunity to learn and grow or an obstacle that keeps you stuck.  You get to choose. Take a deep breath.  It’s going to be OK… maybe not today, but eventually.  There will be times when it seems like everything that could possibly go wrong is going wrong.  You might feel like you will be stuck in this rut forever, but you won’t.  Sure the sun stops shining sometimes, and you may get a huge thunderstorm or two, but eventually the sun will come out to shine.  Sometimes it’s just a matter of us staying as positive as possible in order to make it to see the sunshine break through the clouds again.

DOWNTOWN: SPOTTED LIVE- RAMALDINHO MWANGA - STEVE RNB - CATHBERT ANGELO - GRACE MATATA – INCREDIBLE - FATMA RAMOLE - JOHN SAMBILA AND SEIF KABELELE- I DO NOT WISH TO HIDE MY ORIGINS, NOR DO I SEEK TO MAKE IT A SUBJECT OF CONVERSATION. I’M WHAT I’M…

 Cathbert Angelo of KajunaSon Blog-Seif Kabelele.com and Ramaldinho Mwanga
 Incredible,SeifKabelele.com and Grace Matata
 SeifKabelele.com and Ramaldinho Mwanga
 SeifKabelele.com and John Sambila of Harakati za Bongo Blog
With Fatma Ramole and her friend
SeifKabelele.com, Ramaldinho and Steve RnB

ROCK CITY-MWANZA, Y'ALL READY KNOW THIS

BEHIND THE SCENES OF TANGARINE VIDEO SHOOT BY YEMI ALADE FT.SELEBOBO









New Music Out Now: WALALAHOI By Izzo Bizness


VITENGE QUALITY VINAPATIKANA HAPA MJINI SUMBAWANGA RACE BOUTIQUE TWO WAYS KWA BEI POA KABISA.. TUPIGIE 0754809420







Alicia Keys Throws ‘Coming to America’ Birthday Bash for Swizz Beatz





Swizz Beatz celebrated his 36th birthday with a party fit for a king. Alicia Keys surprised her husband with an extravagant bash at Capitale NYC on Thursday night.
She brought Africa to the Big Apple, modeling the evening after Eddie Murphy’s 1988 comedy Coming to America.
The star-studded guest list included Diddy, DMX, Busta Rhymes, Naomi Campbell, A$AP Ferg, Carmelo and La La Anthony, and Swizz’ ex-wife Mashonda.
His royal highness took his seat in a throne on stage surrounded by family, while his pregnant wife made a grand entrance in a white gown, walking across the dance floor to the beat of tribal dancers.
“My party was Epic thx to all my fam & Friends for a timeless moment. I’m still in shock,” said Swizz, who is expecting his second child with Alicia in December.

PHOTOS FROM DODOMA DJ'S COMPETITION 2014 HOSTED BY WINSTON MAKANGALE OF NYEMO FM DODOMA!


 WINSTON MAKANGALE OF NYEMO FM WITH JULLY OF MATEI LOUNGE AND CAR WASH DODOMA. AT DODOMA DJ'S COMPETITION 2014
 TOP 3 DJ'S AT DODOMA DJ'S COMPETITION 2014! AT MATEI LOUNGE AND CAR WASH DODOMA.
 THE HOST WINSTON MAKANGALE OF NYEMO FM DODOMA WITH THE TOP THREE DJ'S AT DODOMA DJ'S COMPETITION 2014.
HOST WINSTON MAKANGALE OF NYEMO FM DODOMA AT WORK... DODOMA DJ'S COMPETITION 2014 AT MATEI LOUNGE AND CAR WASH DODOMA.

AMERICAN MEGA STAR T.I FOR THE SERENGETI FIESTA 2014 IN BONGO-TANZANIA

ESTER BULAYA ATANGAZA VITA NA WASIRA...!!!




Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Mkoa  wa Mara, Ester Bulaya akizungumza  katika mahojiano maalumu na waandishi wa gazeti hili, Dar es Salaam jana.

Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), Ester Bulaya ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge katika Jimbo la Bunda ambalo linashikiliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira.

Kwa nia hiyo, Bulaya anaweza kuwa ametangaza vita dhidi ya Wasira ambaye hivi karibuni akiwa Bunda, alitangaza kukitetea kiti chake hicho katika Uchaguzi Mkuu 2015.

Julai 8, mwaka huu Wasira akiwa kwenye kikao cha kawaida cha Halmashauri Kuu ya CCM wilayani Bunda, alitangaza kuwa atatetea nafasi hiyo katika Uchaguzi Mkuu ujao, huku akijigamba kuwa yeye ni “mwarobaini wa matatizo” yanayowakabili wakazi wa jimbo hilo.

Kabla ya kutangaza nia hiyo, mara kadhaa Wasira amekuwa akihusishwa na suala la urais na ni mmoja wa makada sita wa CCM ambao walipewa adhabu na chama hicho Februari 18 mwaka huu, baada ya kukutwa na makosa ya kuanza mapema kampeni za urais mwaka 2015.

Akizungumza katika mahojiano maalumu na gazeti hili jana, Bulaya alisema atagombea ubunge katika Jimbo la Bunda na anamtakia kila heri mpinzani wake huyo (Wasira) katika nafasi ya juu ya urais anayotaka kuwania. Alisema ameamua kufanya hivyo baada ya kuombwa na watu kadhaa kutoka jimboni humo wakiwamo vijana, wazee na kinamama. Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya neno Jambo Tz

“Ninaamini nimepata uzoefu mkubwa katika kipindi hiki cha ubunge wa viti maalumu na ninawataka wabunge wenzangu wa viti maalumu waone kuwa nafasi hiyo ni fursa ya kujifunza, lakini mwisho wa yote lazima urudi jimboni,” alisema.

“Hii ni mara ya kwanza nasema hapa. Nitagombea ubunge Jimbo la Bunda kwa kuwa nimeombwa sana na vijana, wazee na ni mara nyingi nimekuwa nikisema bado muda, lakini sasa umebaki muda mfupi hivyo niseme tu kwamba nitagombea. Uongozi ni mbio za kupokezana vijiti. Wasira ni kama baba yangu na sina ugomvi naye na namtakia kila la heri katika position (nafasi) yake nyingine anayoitaka,” alisema.

Kuhusu madai kwamba Wasira anafikiria kuwania urais, alisema, “Naona ni uamuzi sahihi amefanya, kwani amekuwa mbunge tangu mimi nazaliwa mwaka 1980 ameona kwamba ni kweli hii position (nafasi) ya chini ameshaitumikia sana, hivyo ameona katika uzoefu alionao labda ajaribu katika nafasi ya urais.”

Bulaya alisema si kwamba ameamua kugombea ubunge wa Bunda kwa kuwa Wasira anataka urais, bali viti maalumu alipo hivi sasa ni njia ya kupata uzoefu na kujifunza katika kuelekea kugombea ubunge wa jimbo.

“Ili kuondoa suala la kwamba viti maalumu ni vya kupewa siyo kwamba nasema vifutwe, lakini unaweza ukawekwa utaratibu mwingine wa kumpa mwanamke uzoefu katika ngazi ya kibunge,” alisema na kuongeza;

“Lakini unapopewa hebu itendee haki hiyo fursa, kama mtu umeingia viti maalumu unajifunza na unakwenda kugombea na huko kuna kushinda na kushindwa lakini ni lazima nionyeshe hii fursa nimepewa naweza kwenda kushindana na wanaume.”

Alisema hilo ni jambo la msingi kwa kuwa huwezi kulemaa kwa kuwa mbunge wa viti maalumu bila kujifunza na kukaa miaka hadi 15 kwenye ubunge wa aina hiyohiyo kwani wako wengine wanaotakiwa kupata nafasi hiyo ili wajifunze na kwenda majimboni.
“Katika kushindana kuna mawili na lazima ujiandae kwa yote ingawa mwisho wa siku wananchi ndiyo wanaona huyu ana uwezo, tumempa dhamana ya viti maalumu ameitendea haki nafasi hiyo,” alisema.
Uamuzi mbovu
Alipoulizwa ni jambo gani lililowahi kumkera alilofanya yeye au chama chake katika kipindi cha ubunge wake, Bulaya alitaja mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yaliyowaondoa waliokuwa mawaziri; Khamis Kagasheki (Maliasili na Utalii), Shamsi Vuai Nahodha (Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa), Dk Emmanuel Nchimbi (Mambo ya Ndani) na Dk Mathayo David Mathayo (Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi) akisema huo ni uamuzi wa kujutia. Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya neno Jambo Tz
“Ninajutia ‘party caucus’ iliyowaondoa mawaziri kutokana na Operesheni Tokomeza Ujangili, kwani waliotakiwa kuwajibika ni watendaji na si mawaziri wale. Naamini hao walitolewa kafara kwa sababu.
Naamini waliopaswa kushughulikiwa walikuwa watendaji na siyo mawaziri,” alisema.
Alisema aliumia kwa kuwa haiwezekani watendaji wafanye makosa halafu wanaendelea kubaki lakini mawaziri wachapakazi wakaondolewa na kwamba hilo lisiporekebishwa, wataendelea kutolewa kafara na mawaziri ambao ni wachapakazi... “Haya mabadiliko hayakunifurahisha kwa kweli.”
Mbio za urais
Alipotakiwa kutoa maoni yake juu ya wanaojitokeza kuwania urais, Bulaya haoni kati yao mwenye sifa ya kuwania nafasi hiyo ya juu ya uongozi.
Ingawa hakutaja jina la mtu, Februari 18 mwaka jana 2013, Kamati Kuu ya CCM iliwafungia makada sita wa CCM, ambao ni Bernard Membe, Frederick Sumaye, Edward Lowassa, Stephen Wasira, January Makamba na William Ngeleja baada ya kuwabaini kuwa walikuwa wameanza kampeni za urais kabla ya wakati.
Tamko la Kamati Kuu ya CCM lilisema: “Waliohojiwa wamethibitika kuwa na makosa yafuatayo: Kuanza kampeni za kutafuta kuteuliwa kugombea urais kabla ya wakati kinyume na kanuni za uongozi na maadili za CCM Toleo la Februari 2010 Ibara 6 (7), kufanya vitendo vinavyokiuka maadili ndani ya chama na baadhi yao kufanya vitendo vinavyokiuka maadili ndani ya jamii. Kosa hilo nalo ni kwa mujibu wa Kanuni za Uongozi na Maadili za CCM Toleo la Februari 2010 Ibara kadhaa za kanuni hizo.”
Bulaya alisema, “Kutaka urais ni jambo moja na kuchaguliwa na ni jambo jingine. Itafika muda Watanzania watasema nani anafaa, lakini mimi naamini kuna makada wengi wenye sifa kuliko hao, ambao hawajajitokeza na pengine hawatajitokeza kabisa. Katika nafasi ya urais hatuhitaji watu ambao Mwalimu Nyerere aliwakataa kwa kuwa ni wala rushwa na wanaotumia madaraka vibaya. Katika mchakato huo wa Katiba kumejitokeza maoni ya watu kwamba huyo anafaa na yule hafai. Lakini kikubwa ni kuangalia watu wenye hulka ya Mwalimu Nyerere.”
“Kimsingi mimi nakereka sana ninaposikia watu wakihusisha urais na umri. Umri hauwezi kuwa sifa ya urais. Rais anapaswa kuwa mtu anayejua changamoto na udhaifu wa uongozi uliopita, ajue tatizo la Taifa, achukie matumizi mabaya ya madaraka na aguswe na umaskini wa Watanzania.
“Sifa nyingine ni mtu kuwa na uwezo wa kuondoa tabaka la matajiri na maskini, kuheshimu misingi ya utawala bora na akatae rushwa kwa vitendo.”
Alipoulizwa kama anaona upinzani una fursa katika nafasi hiyo ya juu serikalini, Bulaya alisema, “Naamini CCM bado ina fursa nzuri, ila isibweteke kwa kuwa Watanzania wa leo siyo wajinga.”
Alisema CCM haipaswi kuudharau upinzani, badala yake ishughulikie changamoto zinazotolewa na upande huo wa pili kwa ajili ya kuboresha maisha ya Watanzania ili iendelee kuaminika. Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya neno Jambo Tz

MFAHAMU T.I. JAPO KWA UFUPI TU KUPITIA MACHAKU BLOG


T.I. at Bumbershoot.jpg
T.I. performing in Bumbershoot on August 31, 2008
 Tamasha la Serwngwti Fiesta 2014 linatarajiwa kufikia tamati OCT 18 2014 PALE LEADERS CLUB Dar Es Salaam. 
Katika Kilele hicho timu ya maandalizi  itamshusha mwanamuziki T.I. Toka nchini Marekani.
  Sasa kwa kuutambua umuhimu na mchango mkubwa sna wa tamasha hili la Fiesta kwa wasanii wetu, blog hii imeamua kuwaletea Historia ya Mwanamuziki huyu T.I. na harakati zake mbalimbali lengo kumfahamu zaidi.

Background information
Birth name Clifford Joseph Harris, Jr.
Also known as T.I.P.
Born September 25, 1980 (age 33) Atlanta, Georgia, United States
Origin Bankhead, Atlanta, Georgia, United States
Genres Hip hop
Occupations Rapper, record producer, actor
Instruments Vocals
Years active 1996–present
Labels Grand Hustle, Columbia (current) Arista, Ghet-O-Vision, LaFace, Atlantic (former)
Associated acts P$C, B.o.B, DJ Drama, Iggy Azalea, Justin Timberlake, Lil Wayne, Nelly, Pharrell Williams, Young Dro, Young Jeezy, Trae tha Truth
- See more at: http://ubalozini.blogspot.com/2014/09/mfahamu-ti-japo-kw-aufupi-tu-kupitia.html#sthash.wc2QRDtl.dpuf

MFAHAMU T.I. JAPO KWA UFUPI TU KUPITIA MACHAKU BLOG


T.I. at Bumbershoot.jpg
T.I. performing in Bumbershoot on August 31, 2008
 Tamasha la Serwngwti Fiesta 2014 linatarajiwa kufikia tamati OCT 18 2014 PALE LEADERS CLUB Dar Es Salaam. 
Katika Kilele hicho timu ya maandalizi  itamshusha mwanamuziki T.I. Toka nchini Marekani.
  Sasa kwa kuutambua umuhimu na mchango mkubwa sna wa tamasha hili la Fiesta kwa wasanii wetu, blog hii imeamua kuwaletea Historia ya Mwanamuziki huyu T.I. na harakati zake mbalimbali lengo kumfahamu zaidi.

Background information
Birth name Clifford Joseph Harris, Jr.
Also known as T.I.P.
Born September 25, 1980 (age 33) Atlanta, Georgia, United States
Origin Bankhead, Atlanta, Georgia, United States
Genres Hip hop
Occupations Rapper, record producer, actor
Instruments Vocals
Years active 1996–present
Labels Grand Hustle, Columbia (current) Arista, Ghet-O-Vision, LaFace, Atlantic (former)
Associated acts P$C, B.o.B, DJ Drama, Iggy Azalea, Justin Timberlake, Lil Wayne, Nelly, Pharrell Williams, Young Dro, Young Jeezy, Trae tha Truth
- See more at: http://ubalozini.blogspot.com/2014/09/mfahamu-ti-japo-kw-aufupi-tu-kupitia.html#sthash.wc2QRDtl.dpuf

MFAHAMU T.I. JAPO KWA UFUPI TU KUPITIA MACHAKU BLOG


T.I. at Bumbershoot.jpg
T.I. performing in Bumbershoot on August 31, 2008
 Tamasha la Serwngwti Fiesta 2014 linatarajiwa kufikia tamati OCT 18 2014 PALE LEADERS CLUB Dar Es Salaam. 
Katika Kilele hicho timu ya maandalizi  itamshusha mwanamuziki T.I. Toka nchini Marekani.
  Sasa kwa kuutambua umuhimu na mchango mkubwa sna wa tamasha hili la Fiesta kwa wasanii wetu, blog hii imeamua kuwaletea Historia ya Mwanamuziki huyu T.I. na harakati zake mbalimbali lengo kumfahamu zaidi.

Background information
Birth name Clifford Joseph Harris, Jr.
Also known as T.I.P.
Born September 25, 1980 (age 33) Atlanta, Georgia, United States
Origin Bankhead, Atlanta, Georgia, United States
Genres Hip hop
Occupations Rapper, record producer, actor
Instruments Vocals
Years active 1996–present
Labels Grand Hustle, Columbia (current) Arista, Ghet-O-Vision, LaFace, Atlantic (former)
Associated acts P$C, B.o.B, DJ Drama, Iggy Azalea, Justin Timberlake, Lil Wayne, Nelly, Pharrell Williams, Young Dro, Young Jeezy, Trae tha Truth
- See more at: http://ubalozini.blogspot.com/2014/09/mfahamu-ti-japo-kw-aufupi-tu-kupitia.html#sthash.wc2QRDtl.dpuf

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO MPYA WA ISHA MASHAUZI-Nimlaumu Nani

http://www.hulkshare.com/saluti5/nimlaumu-nani-isha-mashauzi



TAZAMA PICHA JEURI YA PESA_BINTI WA MIAKA 21 APAMBA GARI YAKE KWA MADINI TU

Usually, wealthy Arabs have people in awe with their jaw dropping rides but one Russian woman has given them a run for their money by parking her crystal-encrusted Mercedes outside an exclusive hotel for the world to see.
 
But 21 year old Business student,Daria Radionova made her £25,000 Mercedes CLS 350 2011 model even more luxurious, by covering it entirely in Swarovski crystals. The Mercedes CLS 350 is covered in one million individual Swarovski crystals.

 
 
According to Daily mail,Each was painstakingly applied by hand by a group of workers who flew over from Russia especially for the project.They worked for 12 hours a day for two months straight to attach the diamonds, worth £20,000, to the car..She said
'I wanted to have something unique and do something special,'The people who did it came over from Russia and worked for 12 hours a day for two months on the car.I am really happy with it and I am looking forward to driving it around.It has only just been finished and everywhere I go people stop to have a look at it.It gets lots of attention from people walking by and in cars. Sometimes I think they might crash.Everyone is taking pictures of it. When I sell the car I will give the money to charity.

CHUKUA HII MARA MOJA_JINSI YA KUMFAIDI MWANAMKE MTAMU KITANDANI

 


LEO NINAKULETEA MADA FLANI NILIYOIPATA KWA KAKA FLANI KUHUSIANA NA UZURI NA UTAMU WA MWANAMKE.

KAKA HUYO ALITANGULIZA SAMAHANI KWA AKINA DADA WOTE AMBAO WATAKWAZIKA NA MADA YAKE. ALISEMA,

SIKU HIZI LIMEZUKA WIMBI LA AKINA DADA NA HATA AKINA MAMA WENGI SANA 
KUJIREMBA KWA NAMNA MBALIMBALI ILI WAPENDEZE AMA WAWAVUTIE WANAUME!

WAMEKUWA WAKIPAKA RANGI TOFAUTI TOFAUTI KWENYE MIILI YAO, NYWELE ZAO KUCHA ZAO, MIDOMONI YAO, NK.

WENGINE WAMEFIKIA HATAU YA KUNYWA AU KUPAKA DAWA ZA KICHINA ZA KUONGEZA MAKILIO NA MAZIWA ILI KULETA MVUTO NA UZURI WAUTAKAO.

HATA HIVYO, WENGINE WANASUKA NYWELE NDEFU NA WANAONGEA KWA MBWEMBWE HUKU WANATIKISA VICHWA VYAO NA KUSHIKASHIKA NYWELE KAMA WAFANYAVYO WANAWAKE WA KIZUNGU KWENYE MUVI. 

KWA MSISITIZO ZAIDI HUCHANGANYA KISWAHILI NA KINGEREZA. KWA MFANO UTASIKIA, "OFUKOZI AI LAVU HIM BATI, SIWEZI KUENDELEA NAYE"!! CHAKUSIKITISHA WANABADILISHA MPAKA SAUTI ZAO!


NINAJUA DADA ZETU WANAFANYA HIVYO KWA LENGO LA KUPENDEZA NA WENGINE KWA LENGO LA KUWAVUTIA WANAUME. NA NINA HAKIKA HUWA WANAWAPATA WANAUME WENGI SANA KUTOKANA NA HILO! SHIDA IPO KWANGU JAMANI...

MIMI KAMA MIMI SIJUI 
NI KWA NINI HUWA HILI LINANITOKEA, LAKINI NI KWAMBA JINSI WANAWAKE WANAVYOZIDI KUJIREMBA NDIVYO NA MIMI NINAISHIWA HAMU YA KWENDA NAO KITANDANI!!


KIUKWELI NI KWAMBA NIKILALA NA MWANAMKE AMBAYE NI NACHURO, YAANI MWENYE NYWELE ZAKE ZA KAWAIDA ZILIZOSUKWA KWA MTINDO WA 
"TWENDE KILIONI" AU ZILIZOBANWA VIZURI, MWENYE WOWOWO, CHUCHU NA SAUTI NACHURO, HUWA NAPATA NGUVU NYINGI SANA ZA KUPANDA MLIMA, IKILINGANISHWA NA NINAPOLALA NA MWANAMKE MWENYE UREMBO NA UZURI BANDIA. 

SIJUI KAMA UGONJWA HUU UMEWASHIKA NA WANAUME WENZANGU AMA NINAUMWA MWENYEWE!!' ALIMALIZIA KIHIVYO KUUELEZEA YA MOYO WAKE
TWENDE KAZI