Msanii wa filamu za Kibongo, Lungi Maulanga, amesema kuwa mpenzi wake
amekuwa akimsaliti kila kukicha huku akihisi kuwa, huenda wanawake
anaowafuata huko nje wanampa mapenzi kinyume na maumbile.
Akizungumza Gpl Lungi alisema kuwa siku chache
zilizopita alilia sana kutokana na usaliti aliofanyiwa na mpenzi wake
aliyemhifadhi kwa jina, akasema aliamua kumsamehe kwa kuwa anampenda.
“Naumia sana na nalia kila ninapokumbuka namna mpenzi wangu
anavyonisaliti, sielewi ni kwa nini wakati mimi ni mrembo na nina umbo
zuri ambalo kila mwanaume akiniona lazima anitamani.
zilizopita alilia sana kutokana na usaliti aliofanyiwa na mpenzi wake
aliyemhifadhi kwa jina, akasema aliamua kumsamehe kwa kuwa anampenda.
“Naumia sana na nalia kila ninapokumbuka namna mpenzi wangu
anavyonisaliti, sielewi ni kwa nini wakati mimi ni mrembo na nina umbo
zuri ambalo kila mwanaume akiniona lazima anitamani.
“Nashangaa
mwenzangu anavyochepuka, sijui huko nje anawafuata wale wanaotoa
‘mtandao’?” alihoji Lungi na kuongeza: “Mimi siwezi kumsaliti hata
iweje, najua huko nje magonjwa ni mengi.”
mwenzangu anavyochepuka, sijui huko nje anawafuata wale wanaotoa
‘mtandao’?” alihoji Lungi na kuongeza: “Mimi siwezi kumsaliti hata
iweje, najua huko nje magonjwa ni mengi.”

No comments:
Post a Comment