Sunday, 27 July 2014

AJALI: DALADALA YAUVAMIA MTI IRINGA



Hii ni daladala inayofanya safari zake kati ya stendi kuu ya manispaa ya Iringa na Nduli mkoani Iringa. Gari hili liliacha njia na kugonga mti maeneo ya Posta mkoani Iringa. Kwa bahati nzuri ni kuwa gari hilo halikuwa na abiria na lilikuwa likielekea stendi kuu ili lipakie abiria wa kwenda Nduli

No comments:

Post a Comment