Sunday, 27 July 2014

Nahofia Kuachwa Jamani, Nipo katika Mahusiano kwa miaka 6 , lakini sioni dalili za kuolewa










Mimi ni msichana wa umri wa miaka 19. Nimekuwa katika uhusiano wa
kimapenzi na kijana mmoja  kwa muda wa miaka sita sasa.




Isitoshe sisi ni
majirani wa karibu. Aliniahidi atanioa, lakini kwa jinsi muda
unavyokwenda naona kama kuna tofauti. Nahofia kuachwa.




 Naombeni  ushauri  jamani



Mary



No comments:

Post a Comment