NJEMBA ‘AWAVUA’ NGUO WEMA, AUNT EZEKIEL
wawili wa Filamu za Kibongo, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel walikipata cha
moto walipokuwa kwenye msiba wa Adam Kuambiana, Bunju nje kidogo ya
Jiji la Dar, baada ya kutukanwa na njemba mmoja aliyekuwa amelewa.
Sakata
hilo lilijiri usiku mwingi wakati mastaa hao walipokuwa wameenda
kulala kwenya matanga ambayo yalihudhuriwa na mastaa kibao, nyumbani kwa
mke wa marehemu
Mwanaume
mmoja (jina lake halikupatikana) alianza kumtukana Wema kuwa hana uzuri
wowote kama walivyokuwa wakimuona kwenye runinga.
hilo lilijiri usiku mwingi wakati mastaa hao walipokuwa wameenda
kulala kwenya matanga ambayo yalihudhuriwa na mastaa kibao, nyumbani kwa
mke wa marehemu
Mwanaume
mmoja (jina lake halikupatikana) alianza kumtukana Wema kuwa hana uzuri
wowote kama walivyokuwa wakimuona kwenye runinga.
Hata
hivyo, mwisho wa sakata hilo Wema na Aunt waliamua kunyamaza kwani
walibaini kuwa walikuwa wakijibishana na mtu ambaye ‘network’ yake
ilikuwa bize kwa gambe.
hivyo, mwisho wa sakata hilo Wema na Aunt waliamua kunyamaza kwani
walibaini kuwa walikuwa wakijibishana na mtu ambaye ‘network’ yake
ilikuwa bize kwa gambe.
No comments:
Post a Comment