Saturday, 31 May 2014

LIVE: MOROGORO yamuaga GEOGRE TYSON, Sasa ni msafara wa kuelekea Dar es Salaam

LIVE: MOROGORO yamuaga GEOGRE TYSON, Sasa ni msafara wa kuelekea Dar es Salaam

IMG_4257
Msanii wa Bongo Fleva AY akiwa amewasili na crew yake nzima kuja kumpa pole Mbonie Masimba, AY alitoa laki 6 kununua jeneza la marehemu Tyson hii ikiwa kama mchango wake kwa kuthamini kile alichomfania wakati akiwa hai. Sasa msafara unaelekea Bongo na mwili utafikia Hospital ya Kairuki iliyopo Mikocheni na naambiwa msiba uko upo Bahari Beach nyumbani kwa marehemu.
IMG_4263 IMG_4268 IMG_4270 IMG_4271 IMG_4272 IMG_4273 IMG_4275 IMG_4276 IMG_4277 IMG_4294 IMG_4296 IMG_4297

No comments:

Post a Comment