PHOTO’S: LIVE kutoka mochwari ya Morogoro tayari kwa safari ya kuelekea Dar es Salaam kwa maandalizi ya mazishi
Pichani ni Anton Mtaka ambaye ni DC wa
wilaya ya Mvumero hapa Morogoro, kulia ni raisi wa wasanii Mwakifamba
wakiingia eneo la hapa Mochwari tayari kwa maandalizi yote kuwa sawa
Mbonie Masimba leo ni mtu wa kulia kila
mara akikutana na ndugu jamaa na marafiki, kweli huwezi amini kama Tyson
hatunae tena, aliyevaa nguo ya njano yenye vidoti doti ameinama chini
ni mama mzazi wa Mboni ambaye tulikuwa nae toka juzi kwenye shughuli ya
kuwagaia wanafunzi madawati
Team ya The Mboni Show ikiwa kwenye picha
ya pamoja, hawa niliosimama nao ndio waliokuwa kwenye ile gari pamoja
na marehemu Geogre Tyson na hapo hali zao si nzuri sana kila mmoja
analalamika maumivu kwenye sehemu zao za mwili. Halafu wawili
wamekimbizwa hospital ya Mwimbili kwa matibabu ya haraka.
David mmoja wa camera man wa The Mboni Show akizungumza na waandishi wa habari
No comments:
Post a Comment