Tuesday, 27 May 2014

GARI LA MBUNGE WA IRINGA MJINI LANUSURIKA, LAPATA AJALI NDOGO UWANJA WA MWEMBETOGWA



GARI LA MBUNGE WA IRINGA MJINI LANUSURIKA, LAPATA AJALI NDOGO UWANJA WA MWEMBETOGWA






Dereva
wa Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini jina lake halikupatikana alitumbukia
katika gema la uwanja wa Mwembetogwa mjini na kusababisha hali hiyo
kupata itilafu kidogo


Hapa vijana wa Chadema wakisaidia kuchimbua eneo hilo ili gari hiyo itoke 
waliendelea na jitihada hizo mpaka wakafanikiwa

No comments:

Post a Comment