Kile kilichomkuta msanii diamond hapa tz baada ya ngoma
yake ku-leak kwenye media bila ya permission yake yeye
mwenyewe,kitu hicho hicho kimemtokeamsanii
wa “haba haba” kutoka nchini Kenya ajulikanaye kama
Stela Mwangi aka STL.
Bila ya idhini yake msanii huyo anayehiti hapa east Africa
na dunia kwa nyimbo kali kama “haba haba” ,yalimkuta
pale ngoma yake iliyo-leak katika media ijulikanayo
kama”Kudinyana” ngoma yenye mashairi makali na
yasiyofaa kwa maadili jamii especially jamii ya ki-
africa,nakufanya fans wake wamjie juu kwa kutopenda
alichoimba katika track hiyo.
Baada ya kushtukia tukio hilo “haba haba”singer huyo
aliamua ku-apologise kwa fans wake kupitia mtandao
wakijamii wa tweeter na kusema kwamba hikuwa lengo lake
kwa nyimbo hiyo kuwa release kwa public na pia
hakumaanisha kile alichokiimba kwenye track hiyo,hata
hivyo baadhi ya mashabiki they don’t buy the apologise na
kufanya aweze kupoteza image yake iliyojengwa kwa
baadhi yamashabiki wake ingawa some fans waliamini
nakumsamehe.
-VIBE
Thursday, 28 November 2013
YALIYOMKUTA DIAMOND PLATINUMZ, YAMKUTA MSANII STL TOKA KENYA... UNAJUA NI NINI??...........SOMA HAPA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment