Thursday, 28 November 2013

KAMA KUNA WANAWAKE WANAO TAKA KUZAA NA MIMI WAJITOKEZE"BABA KANUMBA"


BABA wa marehemu Steven Kanumba, Charles
Kusekwa amefunguka kuwa baada ya kutangaza
kuwa wanawake wanaotaka uzao wake wajitokeze
azae nao, wamejitokeza kumi lakini akawapa
masharti, yakawashinda.
Akizungumza na mwandishi wetu, baba Kanumba
aliweka bayana kuwa warembo hao waliojitokeza
aliwapa sharti la kwenda kupima Ukimwi lakini
ajabu wote waliingia mitini.
“Wamejitokeza vizuri lakini nashangaa wote
wamekuwa wazito katika suala la kupima Ukimwi
wameingia mitini, kama wapo wengine
watakaolimudu sharti hilo, nawakaribisha,” alisema
baba Kanumba

No comments:

Post a Comment