BREAKING NEWS: MSANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA MEZ B AFARIKI DUNIA HIVI PUNDE
Msanii
mez b amefariki dunia leo hii baada ya kuugua wa pneunomia... Taarifa
za kuaminika kutoka kwa dada yake anayeitwa Rachel kuwa marehemu mez b
amefariki akiwa kwao Dodoma .
No comments:
Post a Comment