Friday, 20 February 2015

BREAKING NEWS: MSANII WA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA MEZ B AFARIKI DUNIA HIVI PUNDE


Msanii mez b amefariki dunia leo hii baada ya kuugua wa pneunomia... Taarifa za kuaminika kutoka kwa dada yake anayeitwa Rachel kuwa marehemu mez b amefariki akiwa kwao Dodoma .
Tutawaletea habari zaidi za msiba...

No comments:

Post a Comment