Friday, 20 February 2015

BASI LA KIDIA LAPATA AJALI MBAYA YA KUGONGANA USO KWA USO NA LORI mchana huu dodoma


 Ajali mbaya imetokea mchana huu huko Mbande, Dodoma baada ya basi la Kidia One kugongana uso kwa uso na lori. Basi hilo limeharibika vibaya mno, inasadikika watu wengi wamepoteza maisha.


No comments:

Post a Comment