Monday, 27 October 2014

SNURA NA MRISHO NGASSA WANASWA LIVE WAKINGONOKA


Kwa mujibu wa mnyetishaji wetu, tukio hilo lililijiri hivi karibuni nyumbani kwa Snura maeneo ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam ambapo wawili hao walibambwa wakiwa wamejiachia ‘wakifanya yao’.


Mnyetishaji huyo alidai kuwa wawili hao walikuwa wakiminyana bila kujali macho ya watu waliokuwa wakifika nyumbani kwa Snura hasa marafiki na majirani zake.

>>BOFYA PICHA NDOGO HAPA CHINI KUONA WAKIFANYA LIVE..<<

No comments:

Post a Comment