Wasanii wengine wa Afrika watakaotumbuiza ni pamoja na Jaguar, Redsan, Nameless na Xtatic wa Kenya, Wizkid wa Nigeria, Fally Ipupa wa Congo, Maurice Kirya, Keko, Naava Grey wa Uganda pamoja na rappers wa Afrika Kusini, Khuli Chana na AKA.
Tamasha la ‘TribeOne Dinokeng’ limeandaliwa na ROCKSTAR4000 na Sony Music Entertainment na litafanyika 26-28 September.
No comments:
Post a Comment