Tuesday, 10 June 2014

STAMINA : Sijatoa wimbo wa Lango la Jiji


STAMINA : Sijatoa wimbo wa Lango la Jiji

 
Imekuwa tabia ya baadhi ya watu kuvujisha nyimbo za wasanii kwa makusudi / faida zao wenyewe, mchezo huu unaenea kwa kasi sana na sasa umemkuta Stamina kwenye ngoma ya "Lango la Jiji".
Stamina amenihakikishia asubuhi ya leo kuhusu wimbo huo wa Lango la Jiji kuwa sio wake bali alishirikishwa tu. Lakini ameshangazwa kuona wimbo huo umetoka na kutambulishwa kama wake na haukuwa rasmi kutoka kwa wakati huu.

No comments:

Post a Comment