Wednesday, 18 June 2014

Mwanamke wa Kitanga ndani ya Daladala Balaa Tupu

Mwanamke wa Kitanga ndani ya Daladala Balaa Tupu


Hawa wanawake wa kitanga wamezid jamani heeeeee.....

Alikuwa kapanda na bwanake kwenye daladala wamekaa siti moja, mwanamke kamchukua bwanake akamuegesha kwenye kifua chake akawa anamuimbia nyimbo za kimahaba, halafu sio kwa sauti ya chini chini ilikuwa sauti kubwa tu mpaka kila mtu akawa anashangaa.

Alipokuwa anashuka akasema "mi ndio mtoto wa kitanga, nimefundwa nikafundika wenye kununa wapasuke twende tukalale laazizi wangu" hahahahahaha

bofya hapa chini kwenye picha inayoonekana ucheck video ilivyokuwa live ndani ya daladala..nishiiidah

No comments:

Post a Comment