MBUNGE JOSHUA NASSARI KUFANYA HARUSI YA ALAIKI KESHO JIMBONI KWAKE
![]() |
| Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Meru Dr PaulBAkyoo akifanya maombi kwa Bw Joshua Nassari ,Mbunge wa jimbo laNArumeru Mashariki na Bi Anande NNnko wanaotarajia kufunga ndoa JumamosiNhii. |
![]() |
| Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari akimwimbia mchumba wake Bi Anande Nnko wakati wa sherehe ya Send off iliyofanyika nyumbani kwao na Bi Harusi Mtarajiwa ,Meru. |
![]() |
| Bi ,Harusi Mtarajiwa Anande Nnko akimpatia zawadi ya T-Shirt Mumewe Mtarajiwa Bw Joshua Nassari wakati wa sherehe ya Send Off iliyofanyika nyumbani kwao Meru. |
Na Dixon Busagaga wa globu ya jamii kanda ya kaskazini.
MBUNGE wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Mh Joshua Nassari kesho anatarajia kufunga ndoa na Bi Anande Nko katika kanisa la Pentekoste, Kilinga lililoko wilaya ya Meru ambako Mh Nassari alianzia masuala ya Kiimani ikifuatiwa na Sherehe kubwa ya Harusi itakayo fanyika katika viwanja vya Usa-River Academy jirani na Hotel ya Ngurdoto.
Kwa
Mujibu wa Mh Nassari ,sherehe hizo zitakazoanza majira ya saa saba
mchana watu wote wamealikwa wakiwemo ndugu, marafiki, Jamaa na wananchi
jimbo la Arumeru Mashariki kwenye tukio hilo na kamba hakuna
kadi.
kadi.
"Nichukue tena fursa hii kuwakaribisha ndg, marafiki, Jamaa na zaidi sana
wananchi wangu wa jimbo la Arumeru Mashariki kwenye tendo hadhimu la
kusherekea harusi yangu , Jumamosi Juni 7, Usa-River academy grounds
kuanzia saa saba mchana. Kwa Pamoja Tulianza na Mungu, Tutamaliza na
Mungu Pamoja. ...No cards on entrance!"alisema
Nassari.
wananchi wangu wa jimbo la Arumeru Mashariki kwenye tendo hadhimu la
kusherekea harusi yangu , Jumamosi Juni 7, Usa-River academy grounds
kuanzia saa saba mchana. Kwa Pamoja Tulianza na Mungu, Tutamaliza na
Mungu Pamoja. ...No cards on entrance!"alisema
Nassari.
Na
ssari amesema watu zaidi ya 8000 wanatazamiwa kushiriki katika sherehe
hiyo ya aina yake wakiwemo viongozi mbalimbali na wabunge kutoka maeneo
mbalimbali




No comments:
Post a Comment