KAMERA YETU IMEWAFUMA TENA LIVE WAHESHIMIWA HAWA BILA CHENGAA,NI JERRY SILAA NA ANTHONY MAVUNDE,ONA WALICHOFANYA
Mstahiki Meya wa manispaa ya ilala,Mjumbe wa kamati kuu ya chama cha
mapinduzi CCM, Mheshimiwa Jerry Silaa na Mhe.Anthony Mavunde ambaye ni
MNEC wa mkoa wa Dodoma,walifumwa na kamera yetu katika viwanja vya
Leaders jana baada ya kuungana na wasanii wa Bongo Movie kuuaga mwili wa
George Tyson kabla ya kusafirishwa kwenda kwao Kenya kwa
Mazishi..Vijana hawa ni mfano wa kuigwa kwa kushiriki mambo mbalimbali
ya kijamii na kitaifa pia..Masama Blog inawatakia kila la heri katika
kutimiza ndoto zao za kuwa viongozi wa baadaye wa Tanzania yetu na dunia
kwa ujumla kwani tuna imani kubwa na utendaji wao.
Tunakumbuka usemi wa tajiri namba moja duniania aliyesema kuwa
"As we look ahead into the next century, leaders will be those who empower others"-Bill Gates
Tunakumbuka usemi wa tajiri namba moja duniania aliyesema kuwa
"As we look ahead into the next century, leaders will be those who empower others"-Bill Gates

No comments:
Post a Comment