Friday, 20 June 2014

AJALI MBAYA YA GARI NA PIKI PIKI BARABARA YA CHALINZE SEGERA

AJALI MBAYA YA GARI NA PIKI PIKI BARABARA YA CHALINZE SEGERA




Mwendesha pikipiki na abiria (majina hayakutambulika) wakiwa wamelala chini katika barabara ya Chalinze Segera karibu na Kabuku baada ya kugongwa na gari ndogo yenye usajili namba T818 BNS leo mchana. 

Mpiga picha wa tukio hili alienda kutoa taarifa ya ajali kiTuo cha polisi cha Kabuku ambapo Polisi walienda kutoa msaada wa kukimbiza majeruhi hospitali pamoja na kupima ajali.

No comments:

Post a Comment