Thursday, 29 May 2014

Wanamuziki Wa Tuzo Za Groove Wafanya Ziara Machakos

Wanamuziki Wa Tuzo Za Groove Wafanya Ziara Machakos

Wanamuziki wa Injili walioingia katika Kinyang'anyiro cha Tuzo za Groove nchini Kenya wamefanya Ziara ya Tamasha la Muziki wa Injili katika Eneo la Machakos Nchini Kenya. Tuzo hizo za Muziki wa Injili zinazotolewa kila Mwaka nchini humo mwaka huu zimewashirikisha wanamuziki wawili kutoka Tanzania Yaani Christina Shusho pamoja na Rose Muhando.


Baadhi ya Wakazi wa Machakos waliojitokeza kwa ajili ya Tamasha hilo

 Mwanamuziki Namba 8 akiwa stejini Kikazi Zaidi
 Namba 8 On Air
 Mmoja Wa Wanamuziki hao Akienda Sawa
 Wanamuziki waliokatika Tuzo wakipiga Mziki wa Collable
 Wakifanya Maombi Ya Kumshukuru Mungu Kabla kaz haijaanza
 Wanamuziki Wakifanya Maombi
 DJ akiwa kwneye maombi
 Nyomiiii
 Wanamuziki wakienda Sawa
 Kikazi Zaidi
 Upande Wa Makundi
 Kama Dawa
 Sehemu Ya Stage


No comments:

Post a Comment