Saturday, 31 May 2014

WABUNGE WA UPINZANI WATOKA BUNGENI

WABUNGE WA UPINZANI WATOKA BUNGENI

Wabunge kutoka vyama mbalimbali vya upinzani Bungeni wakiongozwa na Kiongozi wa Kambi ya upinzani Free Man Mbowe wakitoka nje ya bunge kususia mjadala wa bajeti ya Wizara ya Wizara ya nishati na Madini uliokuwa ulkiendelea LEO Bungeni mjini Dodoma.





No comments:

Post a Comment