Kwaya Ya "The Reapers" Wafanya Live Recording
wa VCCT walifanya Live Recording yenye jina la "Wanipa Raha". Kwaya hiyo
ambayo ilikuwa ikirecord Albam yake ya 4 ya DVD tangu kuanzishwa kwake
siku ya jana walidhihirisha kuwa wao ni kati ya Kwaya chache sana
zilizobaki hapa Tanzania.
Wakiimba kwa kujiamini siku ya jana na zoezi la Live Recording likianza
saa 11:10 lilimalizika rasmi saa 2 usiku huku watu wakiwa bado katika
ukumbi huo.
Kwa ya ya Dar-es-Salaam Gospel Choir pamoja na Kinondoni Revival Choir ndio waliosindikiza The Reapers katika siku ya Jana.
Live Recording hiyo ilifanywa na AJM Recordings Iliyo chini ya Director Joyce Mlabwa
Dar-es-Salaam Gospel Choir Wakiwa Stejini
Revival Choir Wakiwa Stejini siku ya Jana
Mc nambari One, Ze Blogger akiwa Kikazi Zaidi
Hallo Hallo Test Test, Moja Mbili Tatu, Tunajaribu
The Reapers Wakiwa Jukwaani
Mc Wa Event Ze Blogger and The Event Manager Fred wakitathimini Event
Kikazi Zaidi
Jamaa akila Shoots za Ukweli
From The Top
The Reapers Wakiwa wanajiandaa Kupanda Stejini
Kama kawa kama dawa
Ze Blogger Kutoka Clouds Tv na Mzee wa Najua Wajua lakini Wataka Kujua
Zaidi Emmanuel Likuda wa Jahazi la Clouds FM ndani ya The Reapers
Zaidi Emmanuel Likuda wa Jahazi la Clouds FM ndani ya The Reapers
Basi Sawa
wa VCCT walifanya Live Recording yenye jina la "Wanipa Raha". Kwaya hiyo
ambayo ilikuwa ikirecord Albam yake ya 4 ya DVD tangu kuanzishwa kwake
siku ya jana walidhihirisha kuwa wao ni kati ya Kwaya chache sana
zilizobaki hapa Tanzania.
Wakiimba kwa kujiamini siku ya jana na zoezi la Live Recording likianza
saa 11:10 lilimalizika rasmi saa 2 usiku huku watu wakiwa bado katika
ukumbi huo.
Kwa ya ya Dar-es-Salaam Gospel Choir pamoja na Kinondoni Revival Choir ndio waliosindikiza The Reapers katika siku ya Jana.
Live Recording hiyo ilifanywa na AJM Recordings Iliyo chini ya Director Joyce Mlabwa
Dar-es-Salaam Gospel Choir Wakiwa Stejini
Revival Choir Wakiwa Stejini siku ya Jana
Mc nambari One, Ze Blogger akiwa Kikazi Zaidi
Hallo Hallo Test Test, Moja Mbili Tatu, Tunajaribu
The Reapers Wakiwa Jukwaani
Mc Wa Event Ze Blogger and The Event Manager Fred wakitathimini Event
Kikazi Zaidi
Jamaa akila Shoots za Ukweli
From The Top
The Reapers Wakiwa wanajiandaa Kupanda Stejini
Kama kawa kama dawa
Ze Blogger Kutoka Clouds Tv na Mzee wa Najua Wajua lakini Wataka Kujua
Zaidi Emmanuel Likuda wa Jahazi la Clouds FM ndani ya The Reapers
Zaidi Emmanuel Likuda wa Jahazi la Clouds FM ndani ya The Reapers
Basi Sawa




No comments:
Post a Comment