Wednesday, 2 April 2014

YULE MBEBEZ ALIYEAMBUKIZA HIV WANAUME ZAIDI YA 340 KENYA SASA AIBUKIA NA KIBABU CHA KIZUNGU WAONE HAPA TENA LIVE!!



YULE MBEBEZ ALIYEAMBUKIZA HIV WANAUME ZAIDI YA 340 KENYA SASA AIBUKIA NA KIBABU CHA KIZUNGU WAONE HAPA TENA LIVE!!

 

Mwanadada Vanessa Cheruto Chettle
amabaye alithibitisha kuwa anaishi na HIV na ameshatembea na wanaume
wengi bila kutumia kinga wakiwemo watu wenyemajina makubwa
nchiniKenya...kama
Shaffie Weru na Nick Mutuma ambao ni watangazaji maarufu nchini humo.





Kwamujibu wa chanzo cha habari hizi
(chengwon.com) Vanessa na huyo babu wakizungu mwenye asili ya kiyaudi
walikutana kwenye mtandao wakijamii  baada ya babu kupitia akaunti yake
kuandika anataka kusaidia msichana mwenye HIV.










No comments:

Post a Comment