KUMBE WASANII WENGI WA BONGO MOVIES NI WAATHIRIKA WA UKIMWI..?? SOMA ALICHOKISEMA JINI KABULA JUU YA HILI..!!
Katika
hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua msanii mkongwe kiwanda cha Bongo
movie nchini Miliamu Jolwa maarufu kama Jini Kabula ameibuka na kusema
kuwa hakika gonjwa hatari la ukimwei litawateketeza wasanii wote wa
Bongo movie na hakuna atakaebaki kama hawatobadilika kitabia.
hali isiyokuwa ya kawaida na kushtua msanii mkongwe kiwanda cha Bongo
movie nchini Miliamu Jolwa maarufu kama Jini Kabula ameibuka na kusema
kuwa hakika gonjwa hatari la ukimwei litawateketeza wasanii wote wa
Bongo movie na hakuna atakaebaki kama hawatobadilika kitabia.
Akiongea
Sio siri kwa mfano leo hii wasanii wote bongo movie waseme wakamatwe
kinguvu wakapimwe HIV utaona hali ilivyokuwa mbaya na sijui hata mmoja
atakuwa mzima na sababu kubwa ni njaa ambapo sisi wengi wetu tuna majina
lakini hatuna kitu hivyo hiyo hutoa nafasi ya kujirahisha ili kupata
pesa" Alisem Kabula kwa uchungu.
Sio siri kwa mfano leo hii wasanii wote bongo movie waseme wakamatwe
kinguvu wakapimwe HIV utaona hali ilivyokuwa mbaya na sijui hata mmoja
atakuwa mzima na sababu kubwa ni njaa ambapo sisi wengi wetu tuna majina
lakini hatuna kitu hivyo hiyo hutoa nafasi ya kujirahisha ili kupata
pesa" Alisem Kabula kwa uchungu.
No comments:
Post a Comment