MSANII WA BONGO MOVIE ANASWA AKICHEZEWA NYETI ZAKE MCHANA KWEUPE NA WASANII WENZAKE WACHANGA(18+)
Mmh
wimbi la mastaa wetu kuendelea kujishushi hadhi linaendelea kushika
kasi kila kukicha huku hakuna sheria zozote zinazochukuliwa dhidi yao.
Msanii
nyota toka kiwanda cha bongo movie Edward Tem "Nick" picha zake za
utupu zaidi 200 zimenaswa zikimuonesha akiwa na
wanawake zaidi ya watano wakimchezea nyeti zake.
wiki
kdhaa za nyuma iliwahi kushushiwa picha za fumanizi la msanii huyo
dhidi ya msanii wake wa kike ambae alifumaniwa nae maeneo ya Kawe Jijini
Dar ambapo sakata hili liliishia kituo cha Polisi Hananasifu baada ya
msanii huyo kuridhia kumlipa mwenye mke kiasi cha shilingi laki tano.
Chanzo
chetu kiliendelea kusema kuwa picha hizi za utupu zilipigwa siku nyingi
kabla ya hilo fumanizi na zimevuja kutoka kwenye kamera yake mara baada
ya kupotea ambapo blog hii ilifanya jitahada za kumtafuta msanii huyo
kupitia simu yake ya kiganjani lakini kwa bahati mbaya hakuweza
kupatikana.
Msanii
huyo ambae sasa hivi ameachia filamu zake kama Bad Father,The,re ma
sons, House Girl na Boss ambapo kati ya filamu hizo moja tu ndiyo
iliyopelekwa kampuni ya Pilipili Entertainment ya Bad Father
tazama
picha hizo chafu hapa, zimefichwa kwa sababu ya ishu ya maadili so kama
wataka kuziona utakua unazifungua kwa hiari yako... bofya link hizo
hapa chini
No comments:
Post a Comment