Tuesday, 10 December 2013

MATOKEO YA MECHI ZA UEFA CHAMPIONS LEAGUE SIKU YA JANA


MATOKEO YA MECHI ZA UEFA CHAMPIONS LEAGUE SIKU YA JANA


Siku ya jana ilikuwa ni siku ngumu kwa Man City ambao walikuwa na mtihani mkubwa dhidi ya Bayern. Man City waliweza kuwapiga Bayern nyumbani kwao goal 3-2, huku Man U akipata goal dakika ya 67 na kushinda goal 1-0 dhidi ya Shakhtar Donetsk.

Mchezo kati ya Gatasalary vs Juventus uliairishwa na unatarajiwa kufanyika leo saa kumi.Matokeo mengine ni kama ifuatavyo kwenye picha


No comments:

Post a Comment