Kitendo cha kumuongeza Monalisa kwenye timu ya Bongo DSM kimewafurahisha wengi na kuongeza hamasa kubwa miongoni mwa wapenzi wengi wa kipindi hicho ambacho kilijizolea umaarufu mkubwa miaka ya zaidi ya mitatu iliyopita.
Pamoja na Monalisa hapo awali Dude alimtaja Haji Adam ‘Baba Haji’ kuwa ni moja kati ya waigizaji wakali watakaoshiriki kwenye Bongo DSM ya msimu huu.
Dude pia alisisitiza kuwa kipindi hicho kitaanza kuonekana hivi punde kwenye runiga zetu.
Kila la kheri wana Bongo DSM.
No comments:
Post a Comment