Ishu
hiyo imejidhihirisha juzikati nyumbani kwa wawili hao
Mwananyamala-Manjunju jijini Dar, baada ya paparazi wetu kuwaibukia na
kutaka kujua malengo yao zaidi kama wana mpango wa kuoana au la, msikie
kwanza Nuh:IMEGUNDULIKA kuwa uhusiano wa staa wa Mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, na mpenziwe Nuh Mziwanda ni kazi bure kwani uwezekano wa kufunga ndoa kati yao haupo kutokana na kupishana imani.
No comments:
Post a Comment