Tuesday, 4 November 2014

UUUWIIIIII..!!! MAMBO HADHARANI: LICHA YA MAHABA NIUE, SHILOLE NA NUH NI KAZI BURE!


Ishu hiyo imejidhihirisha juzikati nyumbani kwa wawili hao Mwananyamala-Manjunju jijini Dar, baada ya paparazi wetu kuwaibukia na kutaka kujua malengo yao zaidi kama wana mpango wa kuoana au la, msikie kwanza Nuh:

IMEGUNDULIKA kuwa uhusiano wa staa wa Mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, na mpenziwe Nuh Mziwanda ni kazi bure kwani uwezekano wa kufunga ndoa kati yao haupo kutokana na kupishana imani.


KWA MAPICHA ZAIDI

No comments:

Post a Comment