Mchakatokupata muongozo wa vyombo vya utangazaji kuelekea uchaguzi mkuu
umeanza kwa TCRA kutisha mkutano wa siku moja na vyombo hivyo ili
kuwekana sawa. Radio za Kiislam Tanzania zote zilihudhuria. TCRA imesema
kuwa moja ya mategemeo ya mchakato huu ni kuepusha sintofahamu kati
yake na wadau na kubwa zaidi kuongeza ujuzi na ufanisi katika taaluma.
| Aliyevaa kanzu nyeupe ni Said Abry kutoka Radio Quiblatein Iringa na wa tatu kutoka kwake ni Ali Ajran wa Radio Imaan ya Morogoro |
| Kushoto ni Martin Kuhanga wa Radio Tumaini na Hassan Abdullah Khamis wa Radio Kheri zote za Dar es Salaam |
| Aliyevaa kanzu nyeupe ni Said Abry kutoka Radio Quiblatein Iringa na wa tatu kutoka kwake ni Ali Ajran wa Radio Imaan ya Morogoro |
| Kushoto ni Martin Kuhanga wa Radio Tumaini na Hassan Abdullah Khamis wa Radio Kheri zote za Dar es Salaam |
NAY WA MITEGO// PATO LAKE LA FIESTA APELEKA KWA YATIMA
Hapa Nay akiwa na Mlezi wa kituo hicho
Katika hali isiyo ya kawaida kwa wasanii wa hapa Tanzania, ni wachache sana wenye moyo kama huo wa Nay wamitego.Msanii Nay wa mitego ametoa asilimia kumi ya pato lake alilolipata katika Show za Serengeti Fiesta 2014 na kupeleka kwa watoto yatima.
Akizungumza na Ublaozini.blogspot.com Nay amesema ameamua kufanya hivyo kwa sababu anayajua mazingira wanayoishi wale watoto na jukumu la kuwasaidia si la tahasisi fulani au Serikali bali ni jmukumu letu sisis sote
Baadhi ya watoto wanaolelewa kituoni hapao.
Tukio
hilo lilifanyika siku ya Jumatato Trh 29 0ct 2014 katika kituo cha
kulelea watoto yatima cha Mwandaliwa Orphans cha Jijini Dar Es Salaam
Nay akiw na watoto yatima
"Unajua nimeamua kufanya hivi kwa sasabu, wale watoto hawakutamani yale
maisha wanayoishi katika mazingira yale, kuondokewa na baba au mama ni
jambo zito sana katika ulimwengu hasa kwa mtoto asiyejua lolote.
Walitamani kuishi na wazazi wao miaka yote lakini haikuwa hivyo.
Wanaumia sana na ndiyo maana nimeonelea kile kidogo nilichopata nigawane
nao, leo yule kesho atakuwa mwanagu halina mmoja lile. Kwa hiyo
nimependa kufanya vile ili kuona kwamba watambue tupo nao pamoja,
wasiumie sana. Lile swala ni la jamaii nzima siyo serikali au taasisi
ndiyo inayohitajika kuwahudumia, bali kila mwenye kujua uchungu wa mzazi
na ata yeyote ajue ni wajibu wake pia"
Hapa akikabidhi baadhi ya vifaa
Baadhi ya watoto wakiwa na nyuso za Furaha na kaka yao
Hapa akikabidhi baadhi ya vifaa
Baadhi ya watoto wakiwa na nyuso za Furaha na kaka yao






No comments:
Post a Comment