Monday, 27 October 2014

Yaliyojiri katika Viwanja vya Jangwani kwenye Mkutano wa UKAWA...sasa kusimamisha mgombea mmoja wa urais


Yametimia!! Vyama vya Chadema, NCCR Mageuzi, CUF na NLD vimesaini makubaliano ya kuwa na ushirikiano katika shughuli za siasa ikiwa ni pamoja kusimamisha mgombea mmoja katika ngazi mbalimbali za uchaguzi kuanzia uchaguzi ujao wa Serikali za Mitaa hadi Uchaguzi Mkuu 2015.

No comments:

Post a Comment