| super nyota diva katika picha moja na watangazaji wa xxl B12 na Dj Fetty. |
hawa ndiyo super nyota diva walipita mikoani kwenye serengeti diva
waliokuja leo ndani ya studio za clouds fm wakisubiria siku ya ijumaa
ambapo watafanyiwa mchujo wa mwisho kumpata super nyota diva mmoja
atakaye panda jukwaa moja la serengeti fiesta na msanii mkubwa T I
jumamosi hii ya tarehe 18/10/2014 pale Leaders club.
No comments:
Post a Comment