Juzi wasanii mbalimbali wa filamu na muziki walikuwa mkoani Dodoma wakati wa Rais Kikwete alipokabidhiwab rasmu ya katiba mpya. Baadhi ya wasanii hao wenye majina makubwa ni pamoja
na Nisha Salma Jabu, Wastara, P-Funk, Tito Zimbwe, Kenny, cameraman
Kabuti Onyango, Mtunisy na wengineo. Angalia baadhi ya
picha.............
No comments:
Post a Comment