NJEMBA LANASWA LIKIWATISHIA WAFANYABIASHARA KWA KISU WAMPATIE HELA YA KULA DAR
Askari Polisi wakiwa wamemkamata kijana aliyetuhumiwa kutumia kisu
kumtishia mmoja wa wafanyabiashara wa duka ili apatiwe sh. 1,000 ya
kununua chakula katika Mtaa wa Bibi Titi Mohamed, Mnazi Mmoja, Dar es
Salaam leo. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)
No comments:
Post a Comment