Wednesday, 29 October 2014

MAUWAJI YA KIKATILI: AUAWA KWA KUPIGWA NONDO WILAYANI LUDEWA





Mke wa Marehemu Bi.Theodora Luoga akiwa jirani na mwili wa mume wake ni eneo ambalo mauaji hayo yalifanyika

Samahani ndugu wasomaji kwa picha hizi,mwili wa marehemu Merkion Mgimba(Msuruisi) ukiwa katika eneo la tukio.

No comments:

Post a Comment