Mashuhuda wakieleza yaliyotokea.
LORI la
mafuta aina ya Scania likiwa limesheheni dizeli likitokea bandarini
jijini Dar es Salaam kuelekea mikoani, liligonga tuta katika Barabara ya
Morogoro, eneo la Kimara-Baruti, likapoteza mwelekeo na kupinduka
kisha kuwaka moto na kuteketea kabisa.
Wakati
lori hilo likiwaka, mafuta yenye moto yalisambaa na kutaka kuunguza
nyumba za jirani lakini Kikosi cha Uokoaji na Zima Moto cha Halmashauri
ya Jiji, kiliwahi kufika eneo la tukio na kuudhibiti moto huo.
Tukio hilo limesababisha usumbufu mkubwa kwa magari yanayotumia njia hiyo kutokana na sehemu hiyo kupitika kwa shida.
(HABARI/PICHA : RICHARD BUKOS / GPL )
Filamu hiyo inataoka rasmi mwezi ujao.
Sabby Angel, Dude Na King Majuto Wanakuja Kuwashika Na Sio Riziki.
Filamu hiyo inataoka rasmi mwezi ujao.
Uongozi wa ubalozini.blogspot.com tunaitakia mema familia hii izidi kuwa na kheri hasa katika maisha haya ya ndoa.
PICHA// SHEREHE YA MIAKA 10 YA NDOA YA INSPECTOR HAROUN BABU
Oct 25
2004 mwanamuziki nguli wa muziki wa kizazi kipya na mwana mapinduzi wa
mziki huu Inspector Haroun Babu alifunga pingu za maisha. Ni miaka 10
sasa ya ndoa yake. Th 25 alifanya party ya shukrani kwa kudumu kw amuda
wote ndani ya ndoa.
"Hey watu wangu nawashukuru sana walioungana nami na familia yangu na
kunisapoti siku ya jana shukrani za dhati ziwafikie wote waliofanikisha
shughuli yangu kwa namna moja au nyingine shukrani kw wasanii wenzangu
lwp,mabagafresh,domokaya,young tuso,luten karama,Pnc,suma g,miss bella
nawengine pia nawashukuru sana
ahsanteni sana mwisho kwenu nyinyi wadau mashabiki coz nyinyi ndo
mabosi wangu na ndo mnanipa moyo kilakukicha nakunifanya niendelee
kuwepo kwa game ahsanteni pia namshukuru allah jah yehova kwani yeye ndo
kilakitu na ndie anajalia punzi zetu sote, marafiki wote wa page yangu
hapa fb ahsanteni kwa sapoti yenu nashukuru kufanikisha na kumaliza
salama show ya jana"
Inspecto amekuwa mfano wa kuigwa si kwa wanamuziki wenzake bali ni kwa vijana wote wa sasa .
Uongozi wa ubalozini.blogspot.com tunaitakia mema familia hii izidi kuwa na kheri hasa katika maisha haya ya ndoa.
Wednesday, October 29, 2014
ANGALIA PICHA ZA TRENI ILIYOANGUKA LEO VINGUNGUTI
Wednesday, October 29, 2014
ANGALIA PICHA ZA TRENI ILIYOANGUKA LEO VINGUNGUTI
HATIMAYE CHIDI BENZI APATA DHAMANA
Chid Benz akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar.
HATIMAYE msanii wa
muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro 'Chid Benz' leo asubuhi amepata dhamana
baada ya kutimiza masharti ya kesi yake ya kukamatwa na dawa za kulevya.
Msanii huyo, jana alipandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya
Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa mashitaka matatu ya
kukutwa
na madawa ya kulevya ambapo alishindwa kutimiza masharti ya dhamana ya
shilingi milioni 1 pamoja na wadhamini wawili wasiokuwana hatia.
Kesi yake itasikilizwa tena Novemba 11 mwaka huu.












No comments:
Post a Comment