Wednesday, 29 October 2014

LORI LA MAFUTA LAANGUKA, LATEKETEA KWA MOTO JIJINI DAR ES SALAAM

Mashuhuda wakieleza yaliyotokea.
Wafanyakazi kampuni inayomiliki lori hilo ambayo bado haijafahamika, wakifanya tathmini ya hasara iliyopatikana.
Sehemu ya matairi ilivyobaki.
Sehemu ya juu ilivyoungua.
Maofisa wa polisi wakijadiliana la  kufanya.
…Wakielekea eneo la tukio baada ya kufikia muafaka.Askari wakilinda usalama eneo la ajali.Afisa wa polisi akimpa maelekezo askari wa usalama barabarani.
Mashuhuda kila mmoja akieleza lake.
Madereva wa bodaboda wakiwa wameacha shughuli zao ili kushuhudia tukio hilo.
LORI la mafuta aina ya Scania likiwa limesheheni dizeli likitokea bandarini jijini Dar es Salaam kuelekea mikoani, liligonga tuta katika Barabara ya Morogoro, eneo la Kimara-Baruti,  likapoteza mwelekeo na kupinduka kisha kuwaka moto na kuteketea kabisa.
Wakati lori hilo likiwaka, mafuta yenye moto yalisambaa na kutaka kuunguza nyumba za jirani lakini Kikosi cha Uokoaji na Zima Moto cha Halmashauri ya Jiji, kiliwahi kufika eneo la tukio na kuudhibiti moto huo. 
Tukio hilo limesababisha usumbufu mkubwa kwa magari yanayotumia njia hiyo kutokana na sehemu hiyo kupitika kwa shida.
(HABARI/PICHA : RICHARD BUKOS / GPL )

Filamu hiyo inataoka rasmi mwezi ujao.

Sabby Angel, Dude Na King Majuto Wanakuja Kuwashika Na Sio Riziki.

Mastaa wa filamu nchini Sabby Angel, Dude Kulwa Kikumba na King Majuto wanakuja kuwashika mashabiki wa filamu za kitanzania na filamu ya "Sio Riziki". Filamu hiyo ambayo imetengenezwa na Sabby Angel inahusu maisha yake ya kweli kwa jinsi alivyoteseka kwa ajili ya mapenzi.

Filamu hiyo inataoka rasmi mwezi ujao.
 Uongozi wa ubalozini.blogspot.com  tunaitakia mema familia hii izidi kuwa na kheri hasa katika maisha haya ya ndoa.
- See more at: http://ubalozini.blogspot.com/2014/10/picha-sherehe-ya-miaka-10-ya-ndoa-ya.html#sthash.VAk8CEsg.dpuf

PICHA// SHEREHE YA MIAKA 10 YA NDOA YA INSPECTOR HAROUN BABU

 
 Oct 25 2004 mwanamuziki nguli wa muziki wa kizazi kipya na mwana mapinduzi wa mziki huu Inspector Haroun Babu alifunga pingu za maisha. Ni miaka 10 sasa ya ndoa yake. Th 25 alifanya party ya shukrani kwa kudumu kw amuda wote ndani ya ndoa.
 
 "Hey watu wangu nawashukuru sana walioungana nami na familia yangu na kunisapoti siku ya jana shukrani za dhati ziwafikie wote waliofanikisha shughuli yangu kwa namna moja au nyingine shukrani kw wasanii wenzangu lwp,mabagafresh,domokaya,young tuso,luten karama,Pnc,suma g,miss bella nawengine pia nawashukuru sana  ahsanteni sana mwisho kwenu nyinyi wadau mashabiki coz nyinyi ndo mabosi wangu na ndo mnanipa moyo kilakukicha nakunifanya niendelee kuwepo kwa game ahsanteni pia namshukuru allah jah yehova kwani yeye ndo kilakitu na ndie anajalia punzi zetu sote, marafiki wote wa page yangu hapa fb ahsanteni kwa sapoti yenu nashukuru kufanikisha na kumaliza salama show ya jana"
  
Inspecto amekuwa mfano wa kuigwa si kwa wanamuziki wenzake bali ni kwa vijana wote wa sasa .
 
 Uongozi wa ubalozini.blogspot.com  tunaitakia mema familia hii izidi kuwa na kheri hasa katika maisha haya ya ndoa.
- See more at: http://ubalozini.blogspot.com/2014/10/picha-sherehe-ya-miaka-10-ya-ndoa-ya.html#sthash.VAk8CEsg.dpuf©2014 Bashir Nkoromo

Wednesday, October 29, 2014

ANGALIA PICHA ZA TRENI ILIYOANGUKA LEO VINGUNGUTI



 Tren yaangusha behewa  maeneo ya vingunguti reli imeharibika vibaya ffu wameshafika eneo la tukio watu wanakula bakora mtindo mmoja hatakiwi MTU eneo hilo kulikua na kontena za mohamed 


enterprises na Azam. Angalia Picha. CHANZO NI KUKATIKA KWA PINI LOCK AMBAYO IKASABABISHA JANGA HILO.







©2014 Bashir Nkoromo

Wednesday, October 29, 2014

ANGALIA PICHA ZA TRENI ILIYOANGUKA LEO VINGUNGUTI



 Tren yaangusha behewa  maeneo ya vingunguti reli imeharibika vibaya ffu wameshafika eneo la tukio watu wanakula bakora mtindo mmoja hatakiwi MTU eneo hilo kulikua na kontena za mohamed 


enterprises na Azam. Angalia Picha. CHANZO NI KUKATIKA KWA PINI LOCK AMBAYO IKASABABISHA JANGA HILO.







HATIMAYE CHIDI BENZI APATA DHAMANA

Chid Benz akiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar.

HATIMAYE  msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro 'Chid Benz' leo asubuhi amepata dhamana baada ya kutimiza masharti ya kesi yake ya kukamatwa na dawa za kulevya.
Msanii huyo, jana alipandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam na kusomewa mashitaka matatu ya kukutwa 

na madawa ya kulevya ambapo alishindwa kutimiza masharti ya dhamana ya shilingi milioni 1 pamoja na wadhamini wawili wasiokuwana hatia.

Kesi yake itasikilizwa tena Novemba 11 mwaka huu.

No comments:

Post a Comment