Saturday, 30 August 2014

habari kamili: WATU KUMI WAMEFARIKI DUNIA NA MAJERUHI SABA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA MBALIZI




Viti vikiwa vimeharibika baada ya ajali kutokea 


Hivi ndivyo ambavyo Daladala hiyo ilivyojibamiza muda mchache uliopita 


Eneo hili la ubavuni ndipo eneo ambalo Daladala hiyo iliingia na Kujigonga 


Gari hilo aina ya Tata likiwa limepaki pembeni Muda mchache baada ya kupata ajali hiyo


Askari wa usalama wa Barabarani akiwa anatazama na kuchunguza zaidi ajali hiyo


Eneo ambalo Daladala hiyo iliyofumuka 





Hivi ndivyo Daladala hiyo iliyokuwa ikitoka Mwanjelwa kuja Mbalizi ilivyo  Haribika Baada ya ajali hiyo.

No comments:

Post a Comment