Mwili wa marehemu ukiwa eneo la ajali. Pembeni ni baiskeli yake.
MWENDESHA baiskeli ambaye hakufahamika
jina lake mara moja amepoteza maisha baada ya kugongwa na lori aina ya
Fuso eneo la Kibaoni, Ifakara mkoani Morogoro jana.
Marehemu anadaiwa kuwa ni mlinzi wa Shirika la Umeme Tanzani
No comments:
Post a Comment