Tuesday, 26 August 2014
AFARIKI BAADA YA KUGONGWA NA COASTER MOROGORO
MTU mmoja aliyefahamika kwa jina moja la Mgogo, ambaye ni dereva wa bodaboda amegongwa gari na kufariki papo hapo, jioni hii mkoani Morogoro.
Askari wa usalama barabarani wakipima eneo la ajali.
Mwili wa marehemu ukiwa umewekwa ndani ya gari.
Gari iliyomgonga dereva huyo ni aina ya Coaster inayofanya safari ya Kihonda Mjini mkoani humo.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment