| Watoto wenye ulemavu waoishi katika kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu cha Buhangija mjini Shinyanga wakiwa na baadhi ya washiriki wa shindano la Miss Shinyanga 2014 |
| Watoto wenye ulemavu wakiwa katika eneo la tukio leo |
| Kushoto ni mlezi wa warembo(Matron) bi Asha saidi |
| Katikati ni Yasinta kwa niaba ya watoto wenye ulemavu wa katika kituo cha Buhangija akipokea unga wa sembe |
Zikiwa zimesalia siku chache tu kabla ya kufanyika
shindano la kutafuta Mrembo wa mkoa wa Shinyanga,leo warembo 20 wanaoshiriki
shindano hilo wakiongozwa na mwandaaji wa Mashindano hayo bi Asela Magaka
(Asela Promotions) wametembelea kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu cha
Buhangija katika manispaa ya Shinyanga na kutoa msaada wa vyakula sambamba na
kuchangia mifuko ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa bweni katika kituo hicho.
shindano la kutafuta Mrembo wa mkoa wa Shinyanga,leo warembo 20 wanaoshiriki
shindano hilo wakiongozwa na mwandaaji wa Mashindano hayo bi Asela Magaka
(Asela Promotions) wametembelea kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu cha
Buhangija katika manispaa ya Shinyanga na kutoa msaada wa vyakula sambamba na
kuchangia mifuko ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa bweni katika kituo hicho.
Misaada iliyotolewa ni pamoja na,chumvi katoni 1, unga wa ngano kilo 50,mchele kilo
100,unga wa sembe kilo 200,sukari kilo 20,mafuta ya kupikia lita 10 na sabuni
za unga za kufulia kilo 30 vyote vikiwa na thamani ya shilingi 506,700/=.
100,unga wa sembe kilo 200,sukari kilo 20,mafuta ya kupikia lita 10 na sabuni
za unga za kufulia kilo 30 vyote vikiwa na thamani ya shilingi 506,700/=.
Akikabidhi msaada huo wa chakula kwa mkuu wa kitengo cha Walemavu katika
kituo cha Buhangija Jumuishi mwalimu Bright Mduma mwandaaji wa shindano la
Miss Shinyanga 2014 na Miss Talent Shinyanga 2014 bi Asela Magaka kutoka
Asela Promotions amesema ameamua kuwapeleka warembo hao katika kituo hicho ili wajue
mambo yanaoendelea katika jamii ikizingatiwa kuwa kauli mbiu ni “Urembo, sanaa
na jamii”.
kituo cha Buhangija Jumuishi mwalimu Bright Mduma mwandaaji wa shindano la
Miss Shinyanga 2014 na Miss Talent Shinyanga 2014 bi Asela Magaka kutoka
Asela Promotions amesema ameamua kuwapeleka warembo hao katika kituo hicho ili wajue
mambo yanaoendelea katika jamii ikizingatiwa kuwa kauli mbiu ni “Urembo, sanaa
na jamii”.
“Tunao wajibu wa kujua namna jamii inavyoishi,urembo
lazima uende sawa na jamii,nimewaleta washiriki wa miss Shinyanga 2014 ili
wajue kuwa urembo unahusiano na mambo ya jamii,wajue jamii inahitaji nini,na
umuhimu wa kusaidia jamii,hii itasaidia warembo hawa kuwa mabalozi wazuri
katika kusaidia watu mbalimbali wenye mahitaji maalum katika
jamii”,aliongeza Magaka.
lazima uende sawa na jamii,nimewaleta washiriki wa miss Shinyanga 2014 ili
wajue kuwa urembo unahusiano na mambo ya jamii,wajue jamii inahitaji nini,na
umuhimu wa kusaidia jamii,hii itasaidia warembo hawa kuwa mabalozi wazuri
katika kusaidia watu mbalimbali wenye mahitaji maalum katika
jamii”,aliongeza Magaka.
Katika hatua nyingine Magaka alieleza
kukerwa na tabia ya baadhi ya watu katika jamii wanaoua watu wenye ulemavu kwa
kuamini kuwa watapata utajiri na kuwataka waache vitendo hivyo kwani kwenda
kinyume na haki za binadamu kwa sababu kila mtu ana haki ya kuishi na mwenye
uwezo wa kutoa uhai wa binadamu ni mungu pekee.
kukerwa na tabia ya baadhi ya watu katika jamii wanaoua watu wenye ulemavu kwa
kuamini kuwa watapata utajiri na kuwataka waache vitendo hivyo kwani kwenda
kinyume na haki za binadamu kwa sababu kila mtu ana haki ya kuishi na mwenye
uwezo wa kutoa uhai wa binadamu ni mungu pekee.
Kwa upande wao washiriki wa shindano la
Miss Shinyanga 2014 ambao baadhi yao walijikuta wakitokwa na machozi waliiomba
serikali kuwachukulia sheria haraka iwezekanavyo wahusika wa mauaji ya watu
wenye ulemavu wa ngozi badala ya kila mara kusema Uchunguzi unaendelea
Miss Shinyanga 2014 ambao baadhi yao walijikuta wakitokwa na machozi waliiomba
serikali kuwachukulia sheria haraka iwezekanavyo wahusika wa mauaji ya watu
wenye ulemavu wa ngozi badala ya kila mara kusema Uchunguzi unaendelea
Naye mkuu wa
kitengo cha walemavu kituo cha Buhangija mwalimu Bright Mduma amemshukuru
mwandaaji wa shindano la mrembo wa mkoa wa Shinyanga 2014 kwa kuona umuhimu wa
kusaidia watoto hao na kuwaomba washiriki wa shindano hilo kuwa mabalozi katika
jamii kuhamasisha mashirika,taasisi na watu mbalimbali wenye mapenzi mema
kujitokeza kuwasaidia watoto hao.
kitengo cha walemavu kituo cha Buhangija mwalimu Bright Mduma amemshukuru
mwandaaji wa shindano la mrembo wa mkoa wa Shinyanga 2014 kwa kuona umuhimu wa
kusaidia watoto hao na kuwaomba washiriki wa shindano hilo kuwa mabalozi katika
jamii kuhamasisha mashirika,taasisi na watu mbalimbali wenye mapenzi mema
kujitokeza kuwasaidia watoto hao.
Aidha Mduma amesema kituo cha kulelea watoto cha Buhangija cha
mjini Shinyanga hivi sasa kinalea watoto 36 wasioona,48 wasiosikia na wenye
ulemavu wa ngozi 180 huku changamoto ikiwa ni mabweni kwani sasa wanalazimika
kulala watoto zaidi ya mmoja kitanda kimoja ambapo mabweni mawili yanahitajika
kwa ajili ya watoto wa kiume na moja kwa watoto wa kike.
mjini Shinyanga hivi sasa kinalea watoto 36 wasioona,48 wasiosikia na wenye
ulemavu wa ngozi 180 huku changamoto ikiwa ni mabweni kwani sasa wanalazimika
kulala watoto zaidi ya mmoja kitanda kimoja ambapo mabweni mawili yanahitajika
kwa ajili ya watoto wa kiume na moja kwa watoto wa kike.
Kufuatia changamoto ya mabweni,
warembo hao 20 wanaoshiriki shindano la Miss Shinyanga 2014 wakiongozwa
na mwandaaji wa Shindano hilo litakalofanyika terehe 28,Juni,2014 waliahidi
kuchangia mifuko 18 ya saruji kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa bweni la
wavulana lililoanza kujengwa 2013 na Miss Tanzania mwaka 2012 Brigette Alfred.
warembo hao 20 wanaoshiriki shindano la Miss Shinyanga 2014 wakiongozwa
na mwandaaji wa Shindano hilo litakalofanyika terehe 28,Juni,2014 waliahidi
kuchangia mifuko 18 ya saruji kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa bweni la
wavulana lililoanza kujengwa 2013 na Miss Tanzania mwaka 2012 Brigette Alfred.
Jumla ya shilingi 80,000/=
zilipatikana papo hapo na kukabidhiwa kwa mkuu wa kitengo cha walemavu mwalimu
Bright Mduma,kwa ajili ya mifuko ya saruji miwili kati ya 18 waliyoahidi na
kubakiza mifuko 16 katika ahadi yao kuchangia ujenzi wa bweni hilo.
zilipatikana papo hapo na kukabidhiwa kwa mkuu wa kitengo cha walemavu mwalimu
Bright Mduma,kwa ajili ya mifuko ya saruji miwili kati ya 18 waliyoahidi na
kubakiza mifuko 16 katika ahadi yao kuchangia ujenzi wa bweni hilo.
Ziara ya washiriki wa shindano
la mrembo wa mkoa wa Shinyanga 2014 imefanyika ikiwa wapo katika maandalizi ya
shindano hilo litakalofanyika Juni 28,mwaka 2014 mjini Kahama ambapo kabla ya
Shindano hilo kutafanyika shindano la kutafuta mrembo wa mkoa mwenye kipaji
litakalofanyika Siku ya Jumatano Juni 25,2014 mjini Shinyanga.
la mrembo wa mkoa wa Shinyanga 2014 imefanyika ikiwa wapo katika maandalizi ya
shindano hilo litakalofanyika Juni 28,mwaka 2014 mjini Kahama ambapo kabla ya
Shindano hilo kutafanyika shindano la kutafuta mrembo wa mkoa mwenye kipaji
litakalofanyika Siku ya Jumatano Juni 25,2014 mjini Shinyanga.
No comments:
Post a Comment