Tuesday, 24 June 2014

TAMKO LA NISHA BAADA YA ZENA NA BETINA KUVUNJA REKODI YA KUUZA SOKONI



 Salma Jabu Nisha/ Acress At Bongo Movies

MPAKA kufika hapa ni kwa uwezo wa mwenyezi mungu na sio kinginecho,.. Nafurahi sana kuona kazi zangu zinaenda sawa hivyo nna imani kwa
mwenendo huu ntafika mbali kupitia pia suport yenu mashabiki wangu mungu awabariki. Alisema Nisha


Mmoja kati waliofanikiwa kuinyaka Filamu hio ya ZENA NA BETINA kitaani yani raha tupuuuuuuuu!!!!

No comments:

Post a Comment