Sikiliza simulizi la ukatili aliofanyiwa binti huyu na mwajiri wake
![]() |
| Sehemu ya majeraha kwenye mwili wa binti aliyejeruhiwa na mwajiri wake |
Dina Marios katika blog yake ameweka picha zinazomwonesha bingi mmoja
ambaye mwili wake umeharibiwa kwa majeraha yanayodaiwa kutokana na
kung'atwa na kuchomwa kwa pasi ya moto na mwajiri wake.
Katika chapisho hilo, Dina anasema mkasa wa yaliyompata binti huyo
mwenye umri wa miaka 20 aliyekuwa anafungiwa ndani tu huku akifanya kazi
kwa mwajiri wake tangu miaka mitatu iliyopita, utasimuliwa na Gea Habib
katika kipengele cha "Heka Heka" katika kipindi cha "Leo Tena"
kinachosikika katika Radio Clouds FM.

No comments:
Post a Comment