Thursday, 5 June 2014

Ofisi ya Kanumba Imeishia Wapi? Movies Zenyewe Hatuzioni

Hivi najiuliza sana ile ofisi ya Kanumba mdogo wake Seth alidai anaiendeleza na wakaja watoto wengine wa yule baba yao wakajidai wamejipanga kuendeleza mtanange,
HIvi imeishia wapi mana hata muvi zenyewe hatuoni...HAIJAFUNGWA KWELI na vifaa kuuzwa?
Kuna kitu Kinaendelea ? Mwenye habari Atujuze

No comments:

Post a Comment