Tuesday, 24 June 2014

MWIMBAJI INJILI DEBORAH SAID AZIKWA MAKUBURI JESHINI JIJINI DAR



 
Jeneza likishushwa kaburini.


 
Waimbaji wakiwa wamebeba jeneza la mwimbaji mwenzao Deborah John Said.
 
Kaburi la Deborah.
 
Watoto wa marehemu wakiweka shada kaburini.
 
Picha ya marehemu.
MWIMBAJI wa Injili, Deborah John Said, aliyefariki Juni 19 mwaka huu kwa tatizo la kansa, alizikwa jana, Juni 23, kwenye makaburi ya  Makuburi-Jeshini jijini Dar es Salaam ambapo waombolezaji wengi walihudhuria mazishi hayo.Marehemu ameacha mume na watoto wanne.
(Na Gabriel Ng’osha/GPL)

No comments:

Post a Comment