Breaking News: Muigizaji mkongwe nchini, Mzee Small Afariki Dunia
Muigizaji mkongwe nchini, Mzee Small Wangamba amefariki dunia usiku huu akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Mzee Small amefariki kwa ugonjwa wa
presha baada ya kuugua kwa muda mrefu kabla ya kuzidiwa jana na
kupelekwa Muhimbili.



No comments:
Post a Comment