Saturday, 7 June 2014

Breaking News: Muigizaji mkongwe nchini, Mzee Small Afariki Dunia

Breaking News: Muigizaji mkongwe nchini, Mzee Small Afariki Dunia



Muigizaji mkongwe nchini, Mzee Small Wangamba amefariki dunia usiku huu akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. 

Mzee Small amefariki kwa ugonjwa wa presha baada ya kuugua kwa muda mrefu kabla ya kuzidiwa jana na kupelekwa Muhimbili.

Mtoto wa marehemu aitwaye, Muhidin amethibitisha kifo cha Mzee Small. Mungu  ailaze Roho  ya  Marehemu  Mahali  pema  Peponi-Amina.

No comments:

Post a Comment