Sunday, 25 May 2014

WANAFUNZI WA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA STEFANO MOSHI(SMMUCO) WAFUNGA BARABARA WAKITAKA KULIPWA PESA ZAO ZA MKOPO



WANAFUNZI WA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA STEFANO MOSHI(SMMUCO) WAFUNGA BARABARA WAKITAKA KULIPWA PESA ZAO ZA MKOPO


 Wanafunzi wakiwa katika Makundi mbalimbali katika mgomo huo




 Mgomo ukiwa unaendelea huku wakidai pesa zao 



 Wanafunzi wakiwa wamefunga Njia muda huu

Hapa wakiendelea na madai yao wakiwa ni wanafunzi wa Mwaka wa Kwanza wa Pili na Watatu
Endelea kufuatilia click >>hapa<<

No comments:

Post a Comment