Thursday, 29 May 2014

TUNAOMBA RADHI WAPENZI WETU WA PAPARAZI KWA PICHA HIZI:MAUAJI YA KUTISHA YAZIDI KUITIKISA KAHAMA......KIKONGWE MWINGINE AUAWA KISA IMANI ZA KISHIRIKINA !!

TUNAOMBA RADHI WAPENZI WETU WA PAPARAZI KWA PICHA HIZI:MAUAJI YA KUTISHA YAZIDI KUITIKISA KAHAMA......KIKONGWE MWINGINE AUAWA KISA IMANI ZA KISHIRIKINA !!!!


Mauaji ya kutisha yamezidi kuitikisa kahama baada ya  Bi Tabu Mtema, miaka 33 mkazi wa kijiji cha BUSULWANGILI Kahama  Shinyanga kuuawa kwa kukatwakatwa mapanga na watu wasiojulikana baada ya watu hao kuvamia nyumbani kwa marehemu na kumjeruhi vibaya kwa mapanga.
Tukio hilo limetokea katika kijiji cha BUSULWANGILI (W) Kahama (M) Shinyanga  jana saa 19:00 nyumbani kwake na watu wasiojulikana ambao pia watu hao walimjeruhi kichwani mume wa mama huyo kwa kutumia panga....
Marehemu Bi Tabu Mtema, miaka 33 mkazi wakijiji cha BUSULWANGILI (W) Kahama (M) Shinyanga



No comments:

Post a Comment