Friday, 30 May 2014

SIO DAYNA TU ANAYEJICHUBUA, MCHEKI HUYU STAR KUTOKA MAREKANI ALYEJICHUBUA NAE.

  
Lakini nilipokutana na picha hii mwenyewe nimebaki nashangaa, Kim kama nilivyowahi kuripoti kwa sasa ni mja mzito, na katika picha hii anaonekana akitembea katika mitaa ya New York akiwa na mimba kubwa, lakini huwezi kuamini kama ni Kim.
 
Kim anaonekana kama mdada wa kizungu na wala si mweusi tena kwa rangi yake ya ngozi imezidi kuwa nyeupoa ukiacha upasuaji wa uso na pua alizozifanya 
CREDIT : DJ FETTY
 

No comments:

Post a Comment