NDOA YA WASANII WA KAOLE YAJIBU:Kalunde ajifungua mtoto wa kike
Msanii wa filamu zao la Kaole, Mariamu Athuman ‘Kalunde’ akiwa na mwanae aliyejifungua hivi karibuni.
WASANII wa filamu zao la Kaole, Mariamu Athuman ‘Kalunde’ na Khely Ahmed ‘Niko’ ndoa yao imejibu ambapo hivi karibuni wamepata mtoto.
Kalunde alisema ana furaha ya ajabu kufuatia kumpata mtoto wa kike na anamshukuru Mungu kwani alijifungua salama bila matatizo.
“Namshukuru
Mungu sana kwa kutupatia mtoto wa kike mimi na mume wangu, huyu mtoto
ameongea furaha ndani ya ndoa yetu kwani ameongeza familia,” alisema
Kalunde.
No comments:
Post a Comment